Tuesday, November 24, 2009





Baba huyoo!!! Pole kwa kazi...




Hii ilikuwa ni mara yangu ya mwisho naonana na ndugu zangu wapenda Ramadhani na Kasimu kabla hawajatutoka. Inshallah Mwenyezi Mungu atawafariji na kuwalaza pema peponi. Ramadhani alitutangulia mbele za haki mwaka 2004, na bwana Kasimu 2005. Kutoka kushoto: Kasimu, mama, mimi na Ramadhani.

Monday, November 23, 2009

Bagamoyo kuzuri, ona miti ilivyopangana vizuri katika hii barabara.


Haya ndio maisha! Kitoweo unakifuta mwenyewe ufukweni...fresh!!! Food poisoning hapa itatoka wapi?


Nadhani ni bora wangeandika "Ukipita hapa utauliwa"

Sunday, November 22, 2009




Jiji la bandari ya Salama(Dar es Salaam)



Saturday, November 21, 2009

Why not? Ndio maisha...

KANYAMA CHIUME

NOVEMBER 22, 1929 - NOVEMBER 21, 2007



Dad it has been two years since
You closed your eyes forever.
Two years of sadness,
Two years remembering the
Good memories we shared together
And two years of knowing that you have
Joined the angels in heaven
Dad we miss you every day, every hour,
Every minute, and every second.
Hoping one day we shall meet again.
May you rest in peace!

Your loving family.