Sunday, September 28, 2008



Mwanangu Hennah Gariella Ramadhani akiwa kwenye mapozi, Bryant Park, New York

Je! Unamjua huyu?

Saturday, September 27, 2008

Thursday, September 25, 2008



Kutoka kushoto: Ramadhani, Athumani, Salehe, Kasimu, Garry na Fundi.


Toka kushoto: Fundi, Kasimu, Salehe,
Mama, Athumani na Ramadhani.


Nikiwa na wife siku za karibuni.




Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Wanja letu kama linavyoonekana kwa ndani wakati wa mechi.

Wanja letu linavyoonekana kwa nje.
Ikulu yetu aliyotuachia Mjerumani.

Dar inavyoonekana tokea Baharini.

Moja ya majengo marefu Dar ni hili la Mafuta House.

Majengo ya Benki Kuu (Twin Towers)
Jiji la Dar es Salaam na mkono wa Bahari kama inavyoonekana tokea angani.

Saturday, September 20, 2008


Nadhani Bush anamwambia Kikwete - "jitahidi ndugu sisi ni marafiki zako Wachina wanawadanganya". Hapana mzee Kichaka, sisi hatufungamani na upande wo wote.

Thursday, September 18, 2008
























Nikitoa nasaa kwa maharusi kwamba wanapaswa kuzingatia vitu vitatu muhimu:
1. Amani 2. Upendo 3. Uvumilivu


Nikiwa na Mheshimiwa Rais Jijini New York, safari yake ya mwisho kabla ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tuesday, September 16, 2008


Nikiwa na Director of Executive Management Training for Macy's East.

Sunday, September 14, 2008

Saturday, September 13, 2008











Noti yetu ya shilingi Ishirini ya miaka hiyo!!
Wakati wake iliweza kununua bia 2 na chengi ukarudishiwa.

Waziri Mkuu wetu wa enzi hizo, hayati Edward Moringe Sokoine alisifika sana kwa uhadilifu. Hapa akiwa ziarani China.

Hayati Edward Moringe Sokoine.

Wednesday, September 10, 2008


Wadau wakiwa kwenye mnuso wa kuwaaga maafisa wa ubalozi New York.

Tuesday, September 9, 2008



Tulipotembelewa na mkuu wa nanii. Toka kushoto: Freddy, Mkuu wa Nanii, Shaban, Musa, Fundi, Richard na mdau mwingine.


Mwalimu Nyerere akiwa na familia yake Ikulu Dar es Salaam.

Alijulikana na kuheshimika na viongozi maarufu duniani kote. Hapa akiwa na JFK Ikulu ya Marekani.















Hakuwa mpenda makuu. Mwalimu alikuwa mpenzi sana wa kucheza bao. Hapa yuko na Mama Maria, Mzee Mwinyi na wazee wengine.
Baba wa Taifa

Sunday, September 7, 2008

MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA
Vijana wakiwa kwenye mnuso wa summer.



Mimi, Geogina, Chris na Hyiasinta



Niko na mwanangu Kombo kwenye treni za chini kwa chini


Niko na wanangu Hennah na Kombo Bryant Park, New York.


Niko na bi mzuri Hennah


Niko na mameneja wenzangu.






Niko mafunzoni na wenzangu.


Baada ya kupewa vyeti.



Kwa mikono sijachacha. Niko na wife na bi Mary.
Harusini Dar






Nikiwa na Mc. Shomari New York




Najidai na mama watoto