Wednesday, August 31, 2011

WASANII WA SANAA YA MAIGIZO MPO WAPI MNAMUACHA MUASISI WENU AKITESEKA HIVI MZEE KIPARA?


Mzee Kipara akijaribu kushuka kitandani
Akisaidiwa kusimama na wageni waliokwenda kumjulia hali

Mzee Kipara enzi zake wakati bado ana nguvu

Napenda nitoe masikitiko yangu kwa wasanii wa Sanaa ya Maigizo wote Nchini kwa kutoonyesha msimamo wa pamoja ili kuweza kumsaidia Mzee wetu Mzee Kipara (Fundi Said) ambaye kwa sasa ana afya ambayo sio nzuri pamoja na uzee lakini hali ngumu ya kimaisha ndio inayochangia zaidi.

Mzee Kipara ni msanii wa muda mrefu sana katika Tasnia hii ya sanaa ya Uigizaji, ni muigizaji mkongwe sana katika Taifa letu, kwa wale wasiomjua alianza kuigiza sanaa toka mnamo mwa miaka ya 1964 enz za RTD (Redio Tanzania) kwa sasa TBC hii kwa faida ya vizazi vya sasa msio fahamu hili.

Baadae Mzee kipara walianzisha kikundi cha maigizo ambacho kikawa kinarushwa na TV ya ITV ambacho amedumu nacho kwa muda mrefu sana kikiitwa Kaole. Katika kipindi chote hiki cha Kaole aliwafundisha wasanii wengi sana ambao kwa sasa wengi mnawasikia au mnaziona kazi zao kwenye Luninga zenu.

Cha kunisikitisha wengi wao hawajaonyesha upendo wao hata kidogo kwa mzee huyu, nitakua mnyimi wa Fadhila kama sita mshukuru sana Stephen Kanumba nakumbuka alikua msanii wa kwanza kwanza kwenda kumsaidia huyu Mzee; namshukuru sana, najua wapo wengine ambao pia walikwenda kwa nyakati tofauti tofauti kuweza kumuona huyu mzee au hata kumsaidia kwa chochote kile.

Mimi binafsi kama mwakilishi wa KAPINGAZ Blog napenda kuwashukuru wote waliofanya hivyo, ila ombi langu kwenu ninyi wasanii wa sanaa ya Maigizo ni kwa nini msiandae tamasha lolote ambalo mnaweza mkakusanya kiasi kikubwa cha fedha kikaweza kumsaidia huyu Mzee wenu badala ya kwenda mmoja mmoja kumuona huyu Mzee, kumbukeni na nyie ni vijana kwa leo itafika wakati mtazeeka kama huyu mzee na watatokea wengine mmewafundisha hiyo sanaa naamini na nyie mnaweza mkasikitika kama mzee huyu.

Naomba niwape mfano wa Dada Asha Baraka, Mkurugenzi wa African Star (Twanga Pepeta) nampongeza sana huyu dada aliweza kuandaa tamasha la Dansi kwa ajili ya kukusanya michango ya kumsaidia Mzee Muhidin Ngurumo ili aweze kupata matibabu vizuri, na mpaka leo naandika masikitiko yangu, Mzee Ngurumo leo anapanda kwenye stage kuimba na wenzie katka tamasha la sikukuu ya Idd el Fitr.

Nawaomba wasanii wote katika sanaa ya maigizo muweze kulitazama hili la Mzee Kipara kama ni jambo lenu wote, na hata mnapokua mnakwenda kwenye vikao vyenu na BASATA muweze kuliongelea hili, ili muweze kua na umoja wenye nguvu wa kuweza kusaidiana kwenye matatizo kama haya. Tunawaona mara kwa mara mnaenda kufanya shughuli mbali mbali sehemu tofauti, hasa za kujipongeza katika mafanikio flani ni vema mnapokua huko mkumbushane la mzee huyu msimuache aishi maisha haya ni aibu kwenu wasanii wote hasa zaidi nyie mliopitia Kaole.

Naomba wana Blog wenzangu tushirikiane katika hili. Asante
KIKOSI KAZI CHA DELMORE COMPANY BV - AFRICA


Kutoka kushoto ni Marc Heijnen, Denis Fulgence na Henry Kapinga
Hicho ndicho kikosi kazi cha Delmore Company - Africa.

Kampuni ya Delmore ni wawakilishi wa Mauzo wa Product za Philips na NEC kutoka Ulaya; Makao Makuu yake yapo Netherland na Branch ofisi kwa Afrika yapo Dar es salaam Tanzania.

Makampuni yote ambayo yana uwezo wa kuwa Partner/Distributor wa Products za Philips au NEC wanaweza wakafanya mawasiliano kwa:-

Namba +255 778 020 747

Email: info@delmorecompany.com

henry.kapinga@delmorecompany.com

au tembelea website yetu www.delmorecompany.com

Usisite kuwasiliana nasi huu ndio muda wa kutanua biashara yako kimataifa.

Tuesday, August 30, 2011

"PENGINE KUNA UWEZEKANO PIA  WALITUPANDIKIZIA GONJWA LA UKIMWI"

Panel reveals new details of 1940's experiment


A presidential panel on Monday disclosed shocking new details of U.S. medical experiments done in Guatemala in the 1940s, including a decision to re-infect a dying woman in a syphilis study.

The Guatemala experiments are already considered one of the darker episodes of medical research in U.S. history, but panel members say the new information indicates that the researchers were unusually unethical, even when placed into the historical context of a different era.

"The researchers put their own medical advancement first and human decency a far second," said Anita Allen, a member of the Presidential Commission for the Study of Bioethical Issues.

From 1946-48, the U.S. Public Health Service and the Pan American Sanitary Bureau worked with several Guatemalan government agencies to do medical research — paid for by the U.S. government — that involved deliberately exposing people to sexually transmitted diseases.

The researchers apparently were trying to see if penicillin, then relatively new, could prevent infections in the 1,300 people exposed to syphilis, gonorrhea or chancroid. Those infected included soldiers, prostitutes, prisoners and mental patients with syphilis.

The commission revealed Monday that only about 700 of those infected received some sort of treatment. Also, 83 people died, although it's not clear if the deaths were directly due to the experiments.

The research came up with no useful medical information, according to some experts. It was hidden for decades but came to light last year, after a Wellesley College medical historian discovered records among the papers of Dr. John Cutler, who led the experiments.

President Barack Obama called Guatemala's president, Alvaro Colom, to apologize. He also ordered his bioethics commission to review the Guatemala experiments. That work is nearly done. Though the final report is not due until next month, commission members discussed some of the findings at a meeting Monday in Washington.

They revealed that some of the experiments were more shocking than was previously known.
For example, seven women with epilepsy, who were housed at Guatemala's Asilo de Alienados (Home for the Insane), were injected with syphilis below the back of the skull, a risky procedure. The researchers thought the new infection might somehow help cure epilepsy. The women each got bacterial meningitis, probably as a result of the unsterile injections, but were treated.

Perhaps the most disturbing details involved a female syphilis patient with an undisclosed terminal illness. The researchers, curious to see the impact of an additional infection, infected her with gonorrhea in her eyes and elsewhere. Six months later she died.

Dr. Amy Gutmann, head of the commission, described the case as "chillingly egregious."
During that time, other researchers were also using people as human guinea pigs, in some cases infecting them with illnesses. Studies weren't as regulated then, and the planning-on-the-fly feel of Cutler's work was not unique, some experts have noted.

But panel members concluded that the Guatemala research was bad even by the standards of the time. They compared the work to a 1943 experiment by Cutler and others in which prison inmates were infected with gonorrhea in Terre Haute, Ind. The inmates were volunteers who were told what was involved in the study and gave their consent. The Guatemalan participants — or many of them — received no such explanations and did not give informed consent, the commission said.

The commission is working on a second report examining federally funded international studies to make sure current research is being done ethically. That report is expected at the end of the year.
Meanwhile, the Guatemalan government has vowed to do its own investigation into the Cutler study. A spokesman for Vice President Rafael Espada said the report should be done by November.






YALITOKEA SEPTEMBA 11 2001, TUTAYAKUMBUKA DAIMA!










MAAFA YA KIMBUNGA CHA IRENE
JIJINI NEW YORK



Saturday, August 27, 2011

MALI NA MAKAZI YA WANAKIJIJI WAPATAO 200 Kimbiji zimeharibiwa

NANI ? ALEYATOA AMRI YA KUWAVUNJIA MAKAZI NA KUWAHARIBIA MAZAO
WANAKIJIJI KIMBIJI ??


Wanakijiji wa kimbiji bado wamebaki na mshangao ! hakuna afisa wowote wa serikali,kuanzia wilaya,mkoa hadi serikali kuu aliyekwenda kuangalia uharibifu! wala kutoa tamko lolote la kuwalinda wanakijiji !

Uvamizi wa wanajeshi dhidi ya wanakijiji Kimbiji !  Polisi hawajakubali kupokea malalamiko ya wanakijiji ! nani ? wa kumfunga simba kengele?

Uvamizi uliofanyika 16.08.2011 jumanne saa 4.00 hasubui wakazi kijiji cha Kimbiji,nje kidogo ya jiji la Dar, wamekuwa na mashaka ya maisha baada ya makazi na mazao yao kuharibiwa vibaya na wanajeshi (JWTZ) ambao walivamia kijiji hiko na kuvunja vunja makazi ya raia..kinyume cha sheria.

Hata hivyo baadhi ya wanakijiji walipereka taarifa katika vya vituo vya polisi vya Kigamboni na mji mwema,havijakubali kupokea malalamiko ya wanachi walioharibiwa mali zao na kutishiwa usalama wao,hadi sasa inaonekana kuwa wanachi wa Kimbiji hawana wa kuwalinda wao na mali zao,kama inavyoeleza katiba ya nchi kuwa kila raia ana haki ya kupewa ulinzi wa maisha yake na mali zake!

Katika Sakata hili la wanajeshi (JWTZ) kuvamia makazi ya raia na kuharibu mali za raia
bado lina utata wa nani ? kumfunga kengengele simba?

Pamoja na ujangili huo uliofanywa na wanajeshi hao dhidi ya wanakijiji cha kimbiji hakuna uongozi wowote wa ngazi ya wilaya au taifa kutembelea eneo la wanakijiji hao ambao wamekuwa "punching bag" la kujipimia nguvu wanajeshi !

Serekali ya kijiji na wanakijiji wa kimbiji wamebaki midomo wazi na kupatwa na mshangao
mkubwa kutokana na ukimnya wa serikali na vyombo vya dola kugeuka bubu kwa kutoingilia
kati sakata hili,wala kutotoa kalipio kali dhidi ya wanajeshi wenye tabia za kuwa nyanyasa
wanakijiji wa kimbiji na sehemu zingine ambazo zimeshafanyiwa vitendo vya kinyama na wanajeshi wa JWTZ

jaribu kuwasiliana na mwenyekiti wa kijiji kimbiji
simu 0713846688 hili kupata mkasa wenyewe ulivyokua
KIKWETE MAHOJIANO CNN 2009

No subway, no Broadway: NYC goes dark for Irene



The unprecedented orders, which affect New Yorkers from the Bronx's most distant reaches down through Manhattan and out to the beaches of Brooklyn and Queens, dealt the congested metropolis a formidable logistical challenge that raised more questions than it resolved:
Where are all of those people in New York's flood-prone areas supposed to go? And, more pointedly, how are they going to get there — especially since many don't own a car?
Subways, buses and trains in one of the world's largest public transportation systems were to stop running at noon Saturday. Bridges and tunnels also could be closed as the storm approaches, clogging traffic in an already congested city.

The five main New York City-area airports were also scheduled to close at noon Saturday for arriving passenger flights. Three of them, John F. Kennedy International Airport, LaGuardia International Airport and Newark Liberty International Airport, are among the busiest airports in the nation.
Officials hoped most residents would stay with family and friends, and for the rest the city opened nearly 100 shelters with a capacity of 71,000 people.

Many people scoffed at the danger and vowed to ride it out at home.
"How can I get out of Coney Island? What am I going to do? Run with this walker?" said 82-year-old Abe Feinstein, who has lived since the early 1960s on the eighth floor of a building that overlooks the famed Coney Island boardwalk.
He said he watched Hurricane Gloria in 1985 from an apartment down the street.
"I think I have nothing to worry about," he said. "I've been through bad weather before. It's just not going to be a problem for us."

Irene was expected to make landfall in North Carolina on Saturday, then roll up the I-95 corridor reaching New York on Sunday. A hurricane warning was issued for the city Friday afternoon, the first time that's happened since Gloria.

If the storm stays on its current path, skyscraper windows could shatter, tree limbs would fall and debris would be tossed around. Streets in southern tip of the city could be under a few feet of water, and police readied rescue boats but said they wouldn't go out if conditions were poor.
Mayor Michael Bloomberg said he was confident people would get out of the storm's way.
"We do not have the manpower to go door-to-door and drag people out of their homes," he said. "Nobody's going to get fined. Nobody's going to go to jail. But if you don't follow this, people might die."

Several New York landmarks were under the evacuation order, including the Battery Park City area, where tourists catch ferries to the Statue of Liberty. Construction was stopping throughout the city, and workers at the site of the World Trade Center were dismantling a crane and securing equipment. Bloomberg said there would be no effect on the Sept. 11 memorial opening the day after the 10th anniversary of the 9/11 terrorist attacks.

Sporting events, concerts and even Broadway were going dark.
In Lower Manhattan, Milton Melendez and partner Shea Collins were headed to uptown to a neighborhood north of Little Italy. Melendez, who survived Hurricane David as a child in the Dominican Republic, was worried about windows being blown out at their apartment. Collins was a little more blasé.

"This is the same thing as a snowstorm," she said. "They say there's going to be 10 feet and there's four inches."

Bloomberg weathered criticism after a Dec. 26 storm dumped nearly two feet of snow that seemed to catch officials by surprise. Subway trains, buses and ambulances got stuck in the snow, some for hours, and streets were impassable for days. Bloomberg ultimately called it an "inadequate and unacceptable" response.

This time officials weren't taking any chances. Transit officials said they can't run once sustained winds reach 39 mph, and they need eight hours to move trains and equipment to safety.
The subway system won't reopen until at least Monday, after pumps remove water from flooded stations. Even on a dry day, about 200 pump rooms remove between 13 million to 15 million gallons of water that seeps into the tunnels deep underground.

Still, not everyone was worried.
Probir Roy, a Bangladesh native who was waiting for a bus to New Jersey, went through a tsunami when he was 10.
"I'm not scared. It's my wife," said the Wall Street manager, who was traveling to Clifton, N.J. "I'm going by bus. She took my car."

There are about 1.6 million people in Manhattan and about 6.8 million in the city's other four boroughs.

Bloomberg warned residents not to be fooled by the sunny weather Friday and said police officers would use loudspeakers on patrol vehicles to spread the word about the evacuation.

At the Red Hook Lobster Pound facing the New York Harbor, owner Ralph Gorham had about $26,000 worth of lobster stored in a refrigerator, plus a tank filled with live crustaceans from Maine. "I'm staying," he said. "But if we get, say, a few feet of water in here, it'll be a huge loss."
For those with cars, parking was available at the city's evacuation centers. From there, each family will be assigned to a shelter and taken there by bus.

In the Queens community of the Rockaways, more than 111,000 people live on a barrier peninsula connected to the city by two bridges and to Long Island to the west.

The city's public transit system carries about 5 million passengers on an average weekday, and the entire system has never before been halted because of natural disaster. It was seriously hobbled by an August 2007 rainstorm that disabled or delayed every one of the city's subway lines. And it was shut down after the 9/11 attacks and during a 2005 strike.

"It's possible to evacuate without going very far," said John Nielsen-Gammon, a Texas A&M University meteorologist who has been involved in disaster planning in his role as the state climatologist. "The big wild card for New York is the fact that nobody there is used to a hurricane and can't rely on common sense or past experience as a guide. And what we learned from evacuations in Houston is that people rely on their friends and their own experience as much as, or more than, they rely on public officials."

Glenn Corbett, a professor who teaches in the emergency management program at the city's John Jay College of Criminal Justice, said he was startled at how early the city planned to halt subways.
"You can tell people to do things, and that doesn't actually mean they're going to do it until the last possible moment. And then what?" he said.

In the last 200 years, New York has seen only a few significant hurricanes. In September of 1821, a hurricane raised tides by 13 feet in an hour and flooded the southernmost tip of Manhattan in an area that now includes Wall Street and the World Trade Center memorial. In 1938, a storm dubbed the Long Island Express came ashore about 75 miles east of the city on neighboring Long Island and then hit New England, killing 700 people and leaving 63,000 homeless. And in 1944, an area was flooded in Midtown, where Times Square, Broadway theaters and the Empire State Building are located.

Workers at the North Cove marina were busy anchoring down boats or getting ready to set sail up the Hudson River. A number of yachts were leaving.
"It's going to be boats versus concrete and I don't think fiberglass is going to win," said Elizabeth Pellatte, the deck supervisor and assistant to the owner of the $35 million Remember When yacht. "It will be worth the $10,000 in gas to save $1 million in damage."
Ordinarily, the boat is based in Florida.
"We spend summers up here usually to escape the hurricanes but this time, one followed us," she said.

Thursday, August 25, 2011

JINAMIZI LA MUZIKI WA DANSI BADO LINAFUNIKA ULAYA !

Ngoma Africa band aka FFU Ughaibuni!
Kuvaana na washabiki Mjini Tuttlingen,Jumamosi 27.08.2011


Bendi maarufu ya mziki wa da nsi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU yenye maskani yake nchini ujerumani inatarajiwa kutumbuiza katika onyesho lingine kubwa la Afrika Festival,mjini Tuttlingen,huko Ujerumani ya kusini.

Kamanda Ras Makunja atakiongoza kikosi chake jukwaani siku ya jumamosi 27.08.2011,bendi hiyo imetajwa ndio bendi pekee ya kiafrika barani ulaya yenye mafanikio ya kuwanasa washabiki wa kimataifa kwa wingi,pia kutumia muziki wake made in bongo uswahilini kama daraja au urimbo wa kuwanasana washabiki katika kila kona duniani,na kuwapa burudani ya aina yake.

Wakali hawa wa mziki wa dansi kwa sasa wanatamba na nyimbo zao mbili mpya "Bongo Tambarare " na "Supu ya mawe" wasikilize zaidi at www.ngoma-africa.com
tafadhali usisahau ku log in at www.ngoma-africa.com

Tuesday, August 23, 2011

Will Smith & Jada Pinkett Smith: 'We Are Still Together'

 
Will and Jada Smith have issued a statement confirming they are still together after a report surfaced on Tuesday suggesting their 13-year marriage had come to an end.

"Although we are reluctant to respond to these types of press reports, the rumors circulating about our relationship are completely false. We are still together, and our marriage is intact," Will and Jada said in a joint statement, issued to Access Hollywood.
Washington, D.C. Earthquake 2011: 5.8 Earthquake Hits Nation's Capital, Felt In New York



        
Songwriter Nick Ashford Of Ashford & Simpson Dies
Ashford, who along with wife Valerie Simpson wrote some of Motown's biggest hits, died in a New York City hospital, said publicist Liz Rosenberg, who was Ashford's longtime friend. He had been suffering from throat cancer and had undergone radiation treatment, she told The Associated Press. Though they had some of their greatest success at Motown with classics like "Ain't No Mountain High Enough" and "Reach Out And Touch Somebody's Hand" by Ross and "You're All I Need To Get By" by Gaye and Tammi Terrell, Ashford & Simpson also created anthems for others, like "I'm Every Woman" by Khan (and later remade by Whitney Houston). Ashford & Simpson also had success writing for themselves: Perhaps the best-known song they sang was the 1980s hit "Solid As A Rock."

"His music is unmatched in terms of great songwriting," Verdine White of Earth, Wind and Fire said after learning of his friend's death. "They had magic and that's what creates those wonderful hits, that magic," White added. "Without those songs, those artists wouldn't have been able to go to the next level." Others in the music industry also mourned the loss. On Twitter, Alicia Keys wrote, "I'm so sad that he's gone. ... So many of the greatests are going to a greater place ... what a legacy of infectious music ... man!"

Ashford and Simpson's relationship stretched more than four decades. They met in 1964 in a New York City church. Ashford, a South Carolina native, had come to the city to pursue a dance career. Simpson was a music student, and after connecting with her, they decided to start to write songs together.

"They were always comfortable with each other and they made all of us comfortable, because they were comfortable," White said. Their first major success occurred when they came up with "Let's Go Get Stoned" for Ray Charles. The bluesy, gospel-tinged song became a huge hit for Charles, and soon, they came to the attention of Motown Records and began penning hits for their artists.

Monday, August 22, 2011






Wakati kumbukumbu ya maadhimisho ya miaka kumi ya maafa ya Septemba 11 yanakaribia, ujenzi wa mahala panapojulikana kama "Ground Zero" nao unaendelea na hivi ni jinsi panavyoonekana kwa sasa.

Wednesday, August 17, 2011

Uvamizi wa wanajeshi dhidi ya wanakijiji Kimbiji ! Polisi kigamboni wamekua BUBU!
hawajakubali kupokea malalamiko ya wanakijiji ! nani ? wa kumfunga simba kengele?
Kuanzia jana jumatano saa 4.00 hasubui wakazi kijiji cha Kimbiji,nje kidogo ya jiji la Dar, wamekuwa na mashaka ya maisha baada ya makazi na mazao yao kuharibiwa
vibaya na wanajeshi (JWTZ) ambao walivamia kijiji hiko na kuvunja vunja makazi ya raia..kinyume cha sheria.
 
Hata hivyo baadhi ya wanakijiji walipereka taarifa katika vya vituo vya polisi vya Kigamboni na mji mwema,havijakubali kupokea malalamiko ya wanachi walioharibiwa mali zao na kutishiwa usalama wao,hadi sasa inaonekana kuwa wanachi wa Kimbiji hawana wa kuwalinda wao na mali zao,kama inavyoeleza katiba ya nchi kuwa kila raia ana haki ya kupewa ulinzi wa maisha yake na mali zake!
 
Katika Sakata hili la wanajeshi (JWTZ) kuvamia makazi ya raia na kuharibu mali za raia bado lina utata wa nani ? kumfunga kengengele simba?

Tuesday, August 16, 2011

Breaking !News !!!!!!!!!!!!!!
Leo !
WANAKIJIJI WA KIMBIJI YAVAMIWA NA WANAJESHI! NA KUVUNJIWA!
pamoja uharibifu wa mazao yao
 
Majira ya saa nne hasubui wanakijiji wa kimbiji walivamiwa na wanajeshi wa ulinzi (JW) na kuvunjiwa makazi yao pamoja na kuharibiwa mazao yao,
Malori manne yaliyojaa wanajeshi yalikivamia kijiji cha kimbiji nje kidogo ya Dar-es-salaam, na kuvunja vunja maeneo ya makazi ya wanakijiji hao ! wanajeshi hao walichukua hadi baadhi ya vifaa vilivyojengewa makazi ya wanakijiji hao na kupakia katika magari yao na kuondoka navyo !
 
Wanakijiji walipo jaribu kuuliza kulikoni waliambiwa kuwa nyinyi hamrusiwi kukaa katika eneo hili ! wanajeshi walidai kuwa eneo la kijiji hiko ni sehemu ya kupigia shabaha ya kijeshi !
 
Wanakijiji hao na uongozi wa serekali ya Kijiji hauna taarifa yoyote ya kisheria kutoka Serekalini ,Idara ya ardhi ,ofisi ya mkoa kuwa kijiji cha kimbiji kimepewa wanajeshi.
Mpaka tunaenda mitamboni kuandika habari hizi wanakijiji wa kimbiji hawajui wamlilie nani? kwa wanajeshi wanaopaswa kuwalinda wananchi wamekuwa mstari wa mbele katika kuwanyanyasa wananchi na kuwaaribia mali na makazi yao,kama vile nchi inatawaliwa  kijeshi!?
 
Uongozi wa serikali usipoingilia kati na kulaani vitendo hiki cha wanajeshi kuvamia makazi na kuaribu mali za wapiga kura,inawekana kabisa wananchi wakachoshwa na kero kama hizi na matokeo yake wakajiami ,au kutokea kama kilichotokea eneo la MADALE miezi michache mwaka huu.utafiti unaonyesha kuwa KIMBIJI haipo katika mpango wa kigamboni new town.
 
Kinacho jaribu kufanywa na wanajeshi ni kutaka kujichukulia ardhi kimabavu kwa kutumia nembo ya jeshi.kama ni hivyo basi serekali haraka sana ingilie kati kuwanusuru na kuwatetea raia wake ambao wameipigia kura serekali.

Saturday, August 13, 2011


Nani kacheza rafu?

Cuba's fading Fidel Castro turns 85 on Saturday



Revolutionary legend Fidel Castro turns 85 on Saturday, still an important figure in his communist-ruled Cuba, but increasingly a fading presence in the life of the country he ran for 49 years.
He gave up his last leadership post this year when he stepped down as head of the ruling Communist Party and has retreated further and further from public view.

His gradual slipping away appears to be a product of choice borne of necessity, but also of a transition plan to wean Cuba from its once near-total dependence on the charismatic Comandante's leadership.
He is rarely seen or heard from and has stood largely on the sidelines as his younger brother and replacement, President Raul Castro, struggles to reform Cuba's Soviet-style economy.
"His role has diminished significantly. He has stepped away more so than at any point in the last five years," said Jonathan Benjamin-Alvarado, a Cuba expert at the University of Nebraska in Omaha.
"It may be a case of Raul Castro solidifying his governing style and Fidel willingly receding," he told Reuters.

Cuba was to celebrate the birthday on Saturday with a nationally televised "serenade" by a lineup of musicians. Organizers said this week they did not know if Fidel Castro would attend personally.
He came to power on New Year's Day 1959 when his guerrilla forces swept down from the eastern Sierra Maestra mountains to topple U.S.-backed dictator Fulgencio Batista.
As Cuba's president, he outlasted nine U.S. presidents and five decades of U.S. hostility, but in July 2006 he underwent emergency intestinal surgery and suffered complications from which he never fully recovered .

He handed power provisionally to Raul Castro, then did so officially when he resigned in February 2008 and his younger sibling was elected president by the National Assembly.
The fading of Fidel's political presence has mirrored a physical decline that was most notable at a Communist Party congress in April when he made just one appearance and had to be helped to his chair on the stage.

The man once famous for his hours-long speeches sat wordlessly as his brother did all the talking in a silent passing of the torch.

TENDING TO SICK CHAVEZ
A year ago, when he reappeared in public after four years of semi-seclusion, he was vigorous enough to launch a campaign warning the world that U.S. moves against Iran's nuclear capability could lead to a nuclear holocaust.

Now, like many elderly, he is tending to the health of a sick friend, in this case close leftist ally Venezuelan President Hugo Chavez who is being treated in Cuba for an undisclosed type of cancer.
Fidel Castro has not been seen since the party congress except in videos chatting with Chavez, in which his physical frailty was clear, but he still seemed mentally alert.

Chavez' illness inspired the only opinion column, or "reflection," by Fidel Castro this summer. Until three months ago, the old revolutionary had written regular opinion pieces on world affairs assiduously published by Cuban state media.

In his July 3 piece on Chavez, in which he predicted the Venezuelan leader's full recovery, he said he had "momentarily" been writing less because he was "attending to other matters that are now top priority." He gave no more explanation.

After his five years out of power, life without Fidel Castro is not as unimaginable for Cubans as it once was.

He is loved by some and hated by others, but increasingly Raul Castro, 80, has supplanted him as the man considered critical to the future of the Revolution. His importance is magnified by the lack of younger potential leaders under him.

"People used to worry about what would happen if Fidel died, but now it's Raul. Raul replaced Fidel, but who will replace Raul?" said mechanic Rafa Marrero.

Nevertheless, Benjamin-Alvarado said Fidel Castro's death will be a "historical moment" for Cuba and perhaps the catalyst for more change.

Whether they like Fidel Castro or not, Cubans "are ready to move on. So that will be the point where there will be pressure on Raul to extend the changes he has initiated," he said.

Wednesday, August 10, 2011


NEW YORK, NEW YORK!!!!




MWANAMKE ALIYEOLEWA NA WANAUME WAWILI!


MWANAMKE mkazi wa kijiji cha Ikandamoyo, wilayani hapa, Veronica Saleh ‘Mama Kaela’ (50), amefanya uamuzi adimu wa kuolewa na wanaume wawili ambao anaishi nao kijijini hapo.

Kijiji hicho kipo umbali wa takribani kilometa 30 kutoka mjini hapa katika Jimbo la Katavi linalowakilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda.

Pamoja na ndoa hiyo iliyowezeshwa na mume mkubwa kukubali kuishi na mume mdogo, imeelezwa kuwa mwanamke huyo ndiye ‘aliyewaoa’ wanaume hao kwa zaidi ya miaka saba sasa, huku akiwa na amri kuu katika nyumba, kama ilivyo katika ndoa za kawaida.

Wanaume hao ni Paulo Sabuni ‘Baba Kaela’ (60) ambaye ndiye mume mkubwa na Arcado Mlele (45) ambaye ni mume mdogo.

Taarifa za kuwapo kwa ndoa hiyo ya aina yake, zililifikia gazeti hili na kufanyiwa uchunguzi kwa zaidi ya wiki tatu, na hatimaye katikati ya wiki hii, wahusika walikubali wao wenyewe kuzungumzia suala hilo . Kwa mujibu wa maelezo ya mwanamke huyo ambaye alionekana kuwa msemaji wa familia hiyo, yeye na mumewe mkubwa, walifika kijijini hapo miaka 24 iliyopita, wakitoka kijiji cha Usumbwa mpakani mwa Chunya, Mbeya na Tabora.

Wakiwa kijijini hapo mume wake aliendelea kufanya kazi ya ukulima wakati yeye mama (Veronica), pamoja na kilimo hujihusisha na upishi na uuzaji wa pombe ya kienyeji ya iitwayo kayoga.

Mwanamke huyo ambaye amesema ana watoto wanne, Alfred (20), binti mwenye miaka 16 (ambaye ameolewa) na wengine wawili wa kiume, mmoja akisoma darasa la sita na mdogo ana miaka saba, amesema hana shida na waume wake.

Ingawa wanandoa hao walizungumza kwa hadhari, majirani walikiri kuwa mwanamke huyo anaishi na wanaume hao wawili kwa amani na kwamba mwanamke huyo ndiye mwenye sauti na si waume zake.

“Si siri tena sasa, tumeshawazoea, kwani wanaishi kwa amani ila yule mume mdogo anaishi kwenye nyumba aliyoachiwa na marehemu baba yake, lakini anashinda kwa mume mkubwa, ambapo inajulikana kijijini hapa kuwa ni nyumba kubwa. “Basi pale ni mambo yote, kula na kunywa, mama huyu amewapangia zamu wanaume hao kama afanyavyo mume mwenye wake wengi. Ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni,” alisema mkazi mmoja kwa masharti ya jina lake kutoandikwa gazetini. Ilielezwa, kwamba wanaume hao wana akili timamu na hawatumii kilevi cha pombe kama ilivyo kwa mke wao.

Hata hivyo, mume mkubwa anapewa sifa za upole tofauti na mume mdogo anayetajwa kuwa mkorofi kiasi cha mara kadhaa kumchapa makofi mkewe anapomuudhi.

Majirani wanadai kwamba Mama Kaela na mumewe Paulo, walipofika kijijini hapo, walipokewa na kuishi maisha ya kawaida, lakini baadaye mama huyo alianza kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Arcado, ambaye naye alilazimika kuachana na mkewe wa ndoa anayefahamika kijijini hapo kwa jina la Mama Pere.

Ilielezwa na mashuhuda hao kwamba mume mkubwa alipobaini uhusiano huo, alikuja juu, lakini mwanamke huyo inadaiwa alimweleza mumewe huyo, atake asitake lazima wataishi wawili, vinginevyo ataachana naye, ndipo mume mkubwa alipokubali kuishi na mume mwenza.

Katika maisha ya kawaida katika familia hiyo, inaelezwa kwamba katika baadhi ya siku ikitokea kuwa mama huyo amechoka kupika, mume mdogo huchukua jukumu la kupika na kumwandalia chakula na maji ya kuoga mume mkubwa.

“Lakini mara nyingi kwa mfano, ikiwa ni zamu ya mama huyo kulala kwa mumewe mkubwa, basi humfulia nguo zake kisha anakwenda kwa mumewe mdogo nako anamfulia nguo.

“Ndivyo wanavyoishi, nasi sasa tumewazoea ila yule mama ni mkali na ana sauti pale kwake kwa wanaume wale ila tunaona kama ana wivu sana kwa huyu mdogo ambaye naye pia ana wivu kwa mkewe huyo, labda anahofia kuwa mama huyo anaweza kuongeza mwanamume mwingine,” anasema mmoja wa majirani hao.

Hakuna mazuri yasiyokuwa na machungu, japo familia hiyo inaelezwa kuwa na amani, mtoto wao mdogo nusura avuruge uhusiano wa wanandoa hao, baada ya kuibuka mzozo wakati wa maandalizi ya ubatizo wake.

Kwa sababu anazojua mama, ingawa inafahamika kuwa wote ni watoto wa mume mkubwa, mke huyo katika hati za ubatizo aliandikisha ubini wa mtoto huyo kuwa ni Mlele (akimaanisha kuwa mtoto wa mume mdogo), lakini mume mkubwa aliweka pingamizi kanisani akidai yeye ndiye baba halali wa mtoto huyo.

Kwa mujibu wa mwanamke huyo, yeye na Arcado ni waumini wa madhehebu ya Katoliki wakati Paulo ni Mpentekoste. Madai ya mzozo wa uhalali wa `ubaba’ wa mtoto huyo, yalithibitishwa na baadhi ya wakazi wa kijiji hicho, akiwamo mwalimu wa dini wa Kigango cha Kanisa Katoliki Uruira, Mashaka Abel. Walisema miaka sita iliyopita, mtoto huyo akiwa na umri wa mwaka mmoja, alifanyiwa taratibu za ubatizo, lakini ilishindikana, kutokana na wanaume hao, kila mmoja kudai ndiye baba mzazi wa mtoto.

“Lilikuwa jambo la kustaajabisha sana , kwani familia hiyo ilifanya maandalizi yote ya sherehe ya ubatizo wa mtoto huyo, lakini siku hiyo kanisani wakati huo ilikuwa ni kigango cha Katumba ambacho sasa ni Uruira, sakata lilianzia pale Padri alipomwuliza mama wa mtoto huyo ubini wa mtoto naye akasema ni Mlele.

“Hapo ndipo mume mkubwa alipopinga na kudai kuwa mtoto yule si wa Arcado bali wake na yeye ndiye baba halali. Padri hakuamini, aliuliza tena na tena na majibu yakawa ni yale yale, ndipo ubatizo ukashindikana,” alisema Katekista Abel.

Kazi ya kutafuta undani wa ndoa hiyo haikuwa rahisi kutokana na mazingira ya woga na usiri uliokusudiwa kubaki, ambapo awali mama alisema kwamba mume wake ni Paulo pekee japo siku ambayo mwandishi wa habari hizi alifika kijijini hapo na baadaye nyumbani kwa wanandoa hao na kumkuta mume mdogo (Arcado akimsaidia mkewe kukoroga pombe. Awali katika utambulisho, walidai kuwa ni mtu na mdogo wake na kusita kuzungumzia maisha yao ya kifamilia.

Mke wao ambaye alionekana wazi kuwa ni msemaji mkuu alifoka na kuja juu, akidai kuwa hayuko tayari kuzungumzia uhusiano wake na wanaume hao wawili, ingawa alikiri kuwa wanaishi pamoja.

"Kwa hiyo umefunga safari yote hii kutoka huko ulikotoka ili uje kwangu mie Veronica … nasema sitaki kabisa mtu kuja hapa na kutaka kunivurugia mpangilio wa maisha yangu, kwanza nani alikueleza hayo, wambea wakubwa hao yanawahusu nini watu hao?” alihoji.

“Mie mume wangu ni huyu Paulo basi … sasa leo umeniachia vurugu ndani ya nyumba nitapigwa na huyo mume wangu Paulo, kwani mmenishikisha ugoni?” alifoka Mama Kaela. Hata hivyo, mume mkubwa alidai kuwa hatamwadhibu mkewe huyo na kwamba wataendelea kuishi pamoja na mdogo wake Arcado kwa amani. Hata hivyo, akina mama wengi kijijini hapo wanalaani kitendo cha mama huyo kuishi na wanaume wawili ambapo waliomba uongozi wa Kanisa uingilie kati, ili mama huyo aweze kufunga ndoa na mume mmoja.

Lakini kwa upande mwingine, baadhi walimpongeza mwanamke huyo wakidai kuwa kitendo hicho ni cha kijasiri kwa mwanamke, kumudu kuishi na wanaume wawili na kuwa na mamlaka ju

Monday, August 8, 2011

Washabiki wa Frankfurt walivamia jukwaa la FFU wa Ngoma Africa band,
kamanda wa FFU Ras Makunja katika kazi ya ziada !




 
Ilikua jumamosi ya asiye na mwana abebe jiwe ! katika tamasha la Afro-karibik, Robstock park,Frankfurt,ujerumani. Pata shika la nguo kuchaika kati ya ffu wa ngoma africa band na washabiki sugu mjini Frankfurt, katika onyesho ambalo washabiki walionyesha ubabe dhidi ya walinzi na kulikwea jukwaa baada ya kudatatishwa na mdundo wa Ngoma Africa band aka FFU.
 
Kiongozi wa bendi hiyo Kamanda Ras Makunja alikiongoza jukwaani kikosi chake ambacho mshambuliaji wa gitaa la solo Chris-B aka "Mshenzi" wa gitaa,alikua akipereka makombora mazito ya milio ya nyuki katika gitaa. Safu ya washambuliaji wa mbele ikiongozwa na kamanda ras makunja, akiwemo Diva Princess Bedi Beraca bella, ilikua na kazi ya moja tu.. nayo kushambuliana jino kwa jino na washabiki.
 
Washabiki nao walipopandisha mzuka wao wa mziki walirudisha mashambulizi ndani ya ulingo wa dansi ! si watoto wala wakubwa,wanawake kwa wanaume! wazungu na weusi wote wamedata akili mbele ya mziki wa ngoma africa band aka FFU,onyesho la jumamosi 6.08.2011 kule frankfurt Ujerumani.
wasikilize zaidi FFU at www.ngoma-africa.com