Thursday, October 31, 2013

ROSE NDAUKA: "SIJAJIBEBEA TU MIMBA HOVYOHOVYO


STAA wa sinema za Bongo, Rose Ndauka amesema suala la kubeba mimba ya mpenzi wake, Malick Bandawe kabla ya ndoa halikutokea bila mpangilio, walishauriana kabla. 
Akipiga stori na paparazi wetu, Rose alisema hajutii kubeba mimba hiyo ambayo ameitangaza kwa vile alishauriana na mwandani wake huyo na anamuamini.

“Sijajibebea tu mimba hovyohovyo hata Malick alipogundua hali hii alifurahi sana, ndiyo maana sina presha hata kidogo kwa kuwa sisi ni wapenzi wa muda mrefu na tunaaminiana,” alisema Rose.

Q-CHILA "NIMEOTESHWA NDOTO YA USHINDI KUWA PAPII KOCHA ATARUDI URAIANI"

Muimbaji wa Beautiful, Q-Chilla amesema ameota ndoto kuwa Papii Kocha na baba yake Nguza Viking aka Babu Seya wataachiwa huru.

Leo, Jumatano, jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani nchini Tanzania limeipitia upya hukumu yao.

“Nimeota ndoto ya ushindi, nimemuona Papii Kocha Sinza anakatiza barabara. Naotaga mara chache sana na huwa vitu vinatokea. Iko wazi kaka yangu anarudi uraiani. Nimemuona, welcome home, dunia ilikumiss, vita imekwisha,” Q-Chilla ameimbia Bongo5.

“Let the world know that the beloved kid is coming home.”

Katika rufaa hiyo leo wakili wa Babu Seya na Papii Kocha ameiomba mahakama hiyo ifute ushahidi na waachiwe huru lakini serikali imepinga. Kutokana na hatua hiyo, leo mahakama ya rufaa haijafanya uamuzi wowote imewapiga kalenda.

Nguza Viking na Papii Kocha wanatumikia kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kubaka na kulawiti watoto wadogo wa shule ya msingi.

ANGALIA PICHA YA MFUNGWA ALIYETAKA KUTOROKA KWA KUTOBOA UKUTA

An overweight inmate who tried to escape a Brazilian jail through a hole smashed through a prison wall had to be rescued by firemen after he got stuck halfway through.
16-stone Rafael Valadao is surrounded by giggling guards after getting stuck in his escape hole
Rafael Valadão, the well-built tattooed convict, tried to follow one of his smaller fellow prisoners
who had already made a bid for freedom through the gap.
But he was left screaming for help when he became wedged while others tried to force him through the hole they had made with a metal shower pipe.
“He has a very large physique and is also very tall,” said Lieutenant Tiago Costa, of the local fire brigade.
“The other prisoners tried to push him but he stayed stuck in the wall. He started screaming in pain, and that was when the prison guards were alerted.”
The prisoner tried to break free late on Monday night at a prison in Ceres, near Goiania, according to Jornal Populacional.

WAPINZANI KUMSIMAMISHA MGOMBEA MMOJA WA URAIS 2015


UPEPO wa mabadiliko ya kisiasa unaovuma kuelekea kambi ya upinzani, sasa unaonekana kuwaamsha viongozi wa vyama hivyo baada ya kutolewa kwa taarifa kuwa wanafikiria kusimamisha mgombea mmoja wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015. 

Taarifa zilizolifikia gazeti hili kabla ya kuthibitishwa na mmoja wa viongozi hao, zilieleza kuwa hatua ya vyama hivyo imekuja baada ya ushirika wao waliouunda kupinga upungufu uliokuwemo kwenye Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kuzaa matunda.


Pamoja na hilo, inaelezwa kuwa maamuzi hayo magumu ya wapinzani yametiwa chachu na kauli aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete ya hivi karibuni ya kukitabiria anguko Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi wa mwaka 2015 au ule wa 2020, kutokana na kile alichodai kuwa viongozi wa chama hicho kuendekeza rushwa.

Mmoja wa viongozi wanaounda ushirika huo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia alithibitisha taarifa hizo huku akisisitiza kuwa nia ya kufanya hivyo ni kuhakikisha wanaiondoa madarakani CCM mwaka 2015.

Kwa mujibu wa Mbatia, walichokifanya kwenye Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba si nguvu ya soda na badala yake wataendeleza hadi kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Mbatia alisema kuwa uongozi wa vyama vya upinzani unatarajia kuungana na kumsimamisha mgombea mmoja, ili kuhakikisha wanaiondoa madarakani CCM.

Mbatia ambaye alikuwa akizungumza katika mahojiano maalumu na RAI Jumatano, alisema hatua hiyo pamoja na ushirika wao unalenga kudumisha amani na uzalendo kwa kuweka utaifa mbele.

Alisema umoja wanaoendelea kuuonyesha kwenye mchakato wa Katiba Mpya, ambao unalenga kuweka mbele maslahi ya Taifa ili kuhakikisha inapatikana Katiba bora yenye kushirikisha Watanzania wote, wataufanya pia kwenye chaguzi mbalimbali.

“Ili jambo lolote litokee lazima kuwepo na chanzo, mwanzo wetu wa ushirikiano ulioanza Septemba mwaka huu ndani ya ukumbi wa Bunge, tutauendeleza. 

“Tupo kwenye maridhiano zaidi, hata muungano wetu wa Tanzania bara na Zanzibar si wa kisheria, viongozi wetu Nyerere na Mzee Karume walikaa na kuzungumza, hata sisi tunafanya hivyo, tunatakiwa kuzungumza kwa maslahi ya nchi,” alisisitiza Mbatia.

Alisema vyama vyao viliamua kuwa na ushirikiano wa pamoja kutokana na kubaini kwamba, bila umoja hakuna kitakachofanikiwa.

“Tumeshaanza kuzungumza kwa mapana juu ya ushirikiano wetu, ukweli ni kwamba kuna mwelekeo mzuri,” alisema.

Alisema hatua ya vyama kujadili kwa pamoja mchakato wa Katiba ni dalili njema za kuelekea kwenye mafanikio na ndio maana wanaona ipo haja ya kuuendeleza ushirika huo hadi kwenye chaguzi mbalimbali nchini.

“Tunapaswa kuvifanya vyama vyetu viwe vya maslahi mapana kwa taifa, ili visionekane vipo kwa ajili ya maslahi ya viongozi.

“Kwa kuwa tumeweka maslahi ya taifa mbele kwenye suala la Katiba, tumeona tuwe na mfumo ambao utalisaidia taifa, ndio maana hata tulipotoka Ikulu tumekubaliana kuwa Tanzania kwanza vyama baadaye, naamini kwa nia njema hata ule ushirikiano wetu utaendelea mbele zaidi kwa maslahi mapana ya taifa letu, tunategemea hivyo… tuna mategemeo mazuri, lazima tufikirie chanya,” alisema Mbatia.

Kauli ya Mbatia imeungwa mkono na Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara, Julius Mtatiro ambaye ameeleza kuwa chama chao hakina tatizo kwenye suala la kumsimamisha mgombea mmoja na wako tayari kwa sababu ushirikiano ni suala la msingi na lenye maana.

“Kulingana na upepo wa kisiasa ulivyo sasa, ni dhahiri tunahitaji kushirikiana ili kukiondoa chama tawala madarakani, kwa sababu mahali tulipo sasa ni pagumu.

“Tunachosubiri sasa ili kukamilisha muungano wetu ni tamko la pamoja kutoka kwa viongozi wa juu wa vyama vyote, lakini naamini nia ya kusimamisha mgombea mmoja itakubalika bila kupingwa,” alisema Mtatiro.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Idara ya Habari kutoka Chadema, John Mnyika, alisema ushirikiano kwa sasa umejikita kwenye suala la kunusuru mchakato wa Katiba na kuwezesha nchi kupata Katiba bora.

Alisema ushirikiano katika masuala mengine ikiwamo pendekezo la kushirikiana katika uchaguzi, litatafakariwa kwa kuzingatia mafanikio katika ushirikiano kwenye suala la mchakato wa Katiba Mpya ambao tunaendelea nao kwa sasa. 

“Huu ndio msimamo ambao naamini pia viongozi wote wanao.

“Kwa kuzingatia kauli zilizotolewa na wenyeviti wote watatu Septemba 15 mwaka huu kwenye mkutano na waandishi wa habari, wakati wa kutoa tamko la pamoja la ushirikiano,” alisema. 

Hata hivyo, mchambuzi wa masuala ya siasa nchini, Dk. Benson Bana ameukosoa uamuzi huo kwa kudai kuwa hawawezi kuungana kwa sababu hawana kiwango cha kuing’oa CCM madarakani.

Dk. Bana aliweka wazi kwamba, hadhani kama vyama hivyo vitafaulu kuitoa CCM madarakani, kwa sababu havina mtaji wa kutosha wa wanachama.

Alieleza kuwa vyama vyote vitatu vinavyojiona vinaisumbua CCM, ambavyo ni CUF, Chadema na NCCR-Mageuzi, havijafanya utafiti wa kutosha kubaini mtaji wa wapiga kura walio nao.

Alisema Chadema ina nguvu ndogo Bara hasa kwenye maeneo ya mijini, CUF ina nguvu Zanzibar na NCCR-Mageuzi haina nguvu ya aina yoyote jambo linaloashiria udhaifu wa vyama hivyo, ambapo alivitaka kujipa muda wa kujipanga kabla ya kufikiria kuing’oa CCM.

Wenye mtazamo tofauti na huo wanasema kuwa endapo hatua hiyo ya vyama vya upinzani itafanikiwa, ni wazi itathibitisha kauli ya Mwenyekiti wa CCM kwamba chama hicho kijiandae kung’oka mwaka 2015 au 2020.

Hata hivyo bado kuna shaka juu ya maamuzi hayo ya vyama vya upinzani, kutokana na yale ambayo yamepata kushuhudiwa katika chaguzi nyingine zilizotangulia hususani zile za viti vya ubunge. 

Imeshuhudiwa katika chaguzi kadhaa vyama hivyo vikisigana kufikia maamuzi ya kuachiana maeneo ya kusimamisha wagombea wenye nguvu.

Mwaka 2010 kwenye uchaguzi Mkuu, CUF kilikitaka Chadema kutosimamisha mgombea kwenye Jimbo la Tunduru kutokana chama chao kuwa na nguvu, hata hivyo wenzao walikataa.

Hali hiyo pia ilijitokeza kwenye Jimbo la Kiteto, Chadema iliitaka CUF kutosimamisha mgombea jambo ambalo halikutekelezwa.

KILA MSICHANA NINAE MTONGOZA ANANIOMBA HELA..WHATS THIS


Mimi ni Kijana wa miaka 25 ninafanya kazi bank moja hapa Mjini ..nimefikia umri wa kutafuta mchumba wa kuoa ila hawa mabinti sijui wakoje kila ninaye mtongoza haipiti siku ananiomba hela kwa visingizio mbali mbali na mimi demu akishaniomba hela design hii hapo hapo naona sio namuona kimeo ndio wale wale ....Kwani Mapenzi siku hizi lazima usambaze Hela kwanza ndio upendwe ama? Naomba ushauri

Wednesday, October 30, 2013

Shear delight... life's a beach for Alan Shearer as he takes a dip in the Caribbean during a family holiday in Barbados

It's a hard life: Alan Shearer and wife Lainya soak up the sun during their current family holiday in Barbados
Predictably, given his picturesque surroundings, the 43-year-old looked suitably rested as he sauntered close to the water in a pair of garish pink Bermuda shorts.
Down time: Alan Shearer enjoys another day in paradise with wife Lainya


Life is good: Alan shows off his facial hair as he prepares for his stroll towards the Caribbean surf (L) while Lainya hangs back by her sun lounger (R) on Wednesday
Wading in: The former Newcastle United and England legend soaks his feet in the Caribbean on Wednesday
Striding back to his lounger, Alan’s growth appeared to be at odds with his balding pate. 
The ex-footballer also proved that he hasn’t let himself go to seed in the years following his retirement by revealing a nicely toned upper body. 
Wife Lainya was later spotted strolling across the beach with their daughter Chloe while Alan took it easy. 
Hanging back: Lainya takes it easy while Alan goes for a soak
Where's Alan? The footballer's wife of 22-years stretches her legs on Wednesday
The pundit, who has amassed a £36m fortune according to the Sunday Times Rich List, lives in Darras Hall with his wife of 22 years and their son Will, 12.
Daughters Chloe 21, and 18-year-old Holly have moved out of the family home. 
Alan met Lainya when he was a Southampton player and were married on in June 1991. 
Resting up: Alan takes a well earned break during some time away from his punditry duties on Match Of The Day
Me and my girl: Lainya and daughter Chlloe Shearer take a walk across the sand.

Tuesday, October 29, 2013

AIBU:HUU NDIO UCHAFU UNAOFANYWA KWENYE PARTY ZA BIKINI CAR WASH


Asikwambie mtu hivi ndio party za kuosha magari huku wanawake wakiwa na bikini zinavyofanyika huko Uganda...kwa kizungu wanaziita Bikin Car Wash ...Hapa mambo yanayofanyika huwa ni aibu watoto kaaa mbali sanaaaa....kama unavyojionea kwenye picha ...Mdakuz unaonaje hapo? Bongo Je zipo hizo ?ama ndio zile Baikoko?

MCHEZAJI WA MPIRA AUMBUKA BAADA YA MZIGO WAKE KUVIMBA AKIWA UWANJANI


Huyu ni staa wa mpira aitwaye Zlatan Ibrahimovic akiwa katika wakati mgumu baada ya mzigo wake kuvimba akiwa uwanjani…
Taarifa zinaarifu kuwa, mzigo huo ulivimba baada ya mchezaji mwenzake kumkumbatia kwa nyuma..

JINSI YA KUJIUNGA NA MTANDAO WA HUPENDO.COM UNAOKUTANISHA WAPENZI TANZANIA

How to use www.upendo.com
1. Open the website www.hupendo.com
2. Chose a user name (anything you like) and put in your e-mail (small letters only) accept our terms of operation a and add the numbers below. Press register.
3. Wait a few minutes and check your mail. The e-mail from us contains your pass word.
4. Lock on to hupendo.com using you user name and new password
5. Press edit profile and complete your profile. Please remember that if you upload a picture you have the option to make it private. then only users which you chose can see the picture 
6. Start contacting users who interests you, and wait to be contacted.
Without a finished profile, nobody will find you and a picture increases your chances a lot...

Body-confident Danielle Fishel sheds her inhibitions as she slips into a bikini on Hawaiian honeymoon a week after facing cruel weight taunts

Body-confident: Newlywed Danielle Fishel proved she wasn't going to let cyber bullies get to her as she hit the beach in Maui, Hawaii on Saturday in a bikini - a week after being called fat on her wedding day
Looking good! The 32-year-old had nothing to be concerned about as she slipped her trim physique into a mismatched black halterneck bikini top and blue and white striped bottoms with green waist accents
It's been a trying time for the Girl Meets World star, despite also being the happiest period in her life.
Just days after tying the knot in a stunning ceremony in downtown Los Angeles on October 19, the petite brunette was faced with a barrage of abuse on her Twitter account from people calling her fat.
The cruel jibes rounded off an upsetting few days for the star, who also faced backlash over marrying a younger man.
But not one to just sit there and take the abuse, the feisty young lady fought back.
It's getting hot in here! The glowing new Mrs Belusko didn't have a care in the world as she enjoyed a passionate embrace with husband Tim Belusko in the ocean
'Ppl saying I was FAT @ my wedding: u r the worst kind of ppl on the PLANET. I weigh 107 pounds & am 5'1". YOU are the reason anorexia exists,' she hit back at critics on October 22.
'I hope you'll look at your own miserable lives and learn to stop judging others on their weight and looks. Love and happiness wins again.'
Despite the hatred, she insisted she wasn't going to let the unkind words of complete strangers ruin her honeymoon.
She wrote: 'Side note, I plan on coming home from this honeymoon weighing 299 pounds. #love #goodfood #adultbeverages #allday.'
The new Mrs Belusko then proved she's strong in the face of adversity as she shed her inhibitions and her clothes to enjoy every aspect of her vacation.
Comparing techniques: The star and her 24-year-old hubby had an animated conversation about their diving techniques as they frolicked in the shallows

NEW YORK TANZANIA DRWAM TEAM NDIYO HABARI YA MJINI

 Mwanzo mwisho ni kujifua akuna kulala timu full gwanda na tayari kwa miki miki ya mbeleni kila idara mambo byeeeeee!!!
 Kila mmoja anajitahidi kuonyesha kiwango nafasi yakila mmoja inaheshimika katika timu hili kujenga timu imara
 Damu mchanganyiko ndiyo chachu ya timu hii kupata mafanikio katika michezo inayo ikabiri mbele yao.
 Wachezaji wako wako wakutosha kila atakae toka na kuingi jembe jembe tu akuna kulala matokeo
 Uwezo wakujenga timu bora upo na sababu na marengo ndiyo hayo kwanini timu isiwe imara kama battery za durracel?.
 Habari hiyo hii ukiona picha tu jua mpango mzima uko kamiri
Wapinzani wajipange kila kinacho endelea uwanjani kina evidence reflection jibu unalo
 ukiona manyoya ujuwe pamepunyuliwa beck nyumba utapita kweli
 kila kitu ni mipango ndo maana New York Tanzania Dream Team imebamba kila idara



BATULI AFUNGUKA KUHUSU MADAI KUWA IRENE UWOYA ANAMUENDEA KWA WAGANGA ILI AMPOTEZE KWENYE FILAMU

Siku za Hivi karibuni kumekuwa na tetesi zisizo rasmi kuwa mastaa wawili wa filamu Swahiliwood Yobnesh Yusuph(Batuli) na Irene Uwoya hawana maelewano mazuri chanzo kikidaiwa ni Irene Uwoya kutaka kumpoteza Batuli kwenye tasnia ya filamu ili asifurukute. Habari hizo zinaenda mbali zaidi zikidai kuwa kuna kipindi Batuli alikuwa anaumwa maeneo ya kifuani lakini baadhi ya watu wakiwemo wasanii wenzake wakiamini Uwoya ndiye kamfanyia mambo ya kilozi(ushirikina). 

Tetesi hizo tulizipuuza mwanzoni lakini zinaonekana kurudi tena kwa kasi hivyo tuliamua kuwatafuta mastaa hao wawili ili watoe ufafanuzi wao wenyewe na wa kwanza kuulizwa alikuwa Uwoya hata hivyo namba yake ilionekana kutokuwa hewani alipotafutwa juzi na jana alipotumiwa ujumbe namba yake ilionekana bado haipo hewani. Batuli nae alitumiwa ujumbe juzi kuhusu issue hiyo lakini hakujibu mpaka jana usiku ndiyo alijibu akisema alikuwa busy sana. Batuli alisema "sina ubaya na msanii yeyote na moyo wangu ni mweupe na nina mapenzi na wasanii wenzangu wote, nawapenda sana anayeniwinda kwa ubaya Mungu atanipa ulinzi wake, sipendi uadui na mtu namuachia Mungu atanilipia yote"

ANGALIA PICHA ZA LADY GAGA ALIPOTUMBUIZA AKIWA UCHI MBELE YA UMATI WA WATU

Lady Gaga anasifika kwa vituko vya mara kwa mara vinavyomfanya awe controversial sana, and this time around ameamua kufanya onesho akiwa uchi wa mnyama!..ndio nimesema uchi wa mnyama katika show ya G-A-Y huko London, Uingereza Ijumaa iliyopita


Gaga (27) alipanda jukwaani akiwa amevalia vazi linalomfunika hadi miguu lakini wakati akiendelea kuperform ghafla akaanza kusaula taratibu kutokea juu hatimaye kulishusha vazi lote na kubaki mtupu.

SINTAH AMCHANA AUNTY LULU LIVE KWA KUGAWA URODA BURE KWA MIDUME.

Katika mahojiano yake na gazeti moja hapa jijini nimesikia aunt lulu akisema wanaume wamemla sana uroda bure kwa miaka mingi sana bila faida, ila kwa sasa harudii kosa hilo ni mwendo wa faranga kwa kwenda mbele, sincerely kwa hizo pics hapo juu nani anaweza akawa na mwanamke kama huyu and shower her dollazzzz?? men also haaaaa as they say one man's meat is another man's poison.

kwahio tusiliongelee sana ila wakati mwingine maneno tunayaongea ktk media yanafanya wasanii waonekane kituko katika jamii kabisa na akili zako na unajitambua wewe ni msanii unaweza ukaongea pumbaless kama hii na watu wakasoma na kukuelewa ??

WANAUME WAMENILA URODA BURE MIAKA MINGI SANA BILA FAIDA SASA HIVI SIRUDII KOSA NG'OO: ANT LULU!

hiki ni nini wajameni? nikisema mtasema Sintah anaongea?? niko hapa kwaajili ya kurekebisha watu na jamii inachukulia wasanii kama kioo chao, sasa kwa matendo haya ya lulu na alivyoongea wengine tunaonekana vipi,

ni wakati umefika sasa tujue kuna wasanii na wanaotafuta umaarufu ili ya kwao yawaendee eg kupata mabwana na wanawake 

yaani nimekereka sana na hii kauli ya Aunt Lulu so sasa hivi anauza rasmi na ameamua kujitangaza kama tunavyojua biashara ni matangazo ??

MKE WA MTU MTARAJIWA ANASWA AKIJIUZA HUKO BUGURUNI....AZIMIA GHAFLA NA KUANZA KUTOA MAPOVU MDOMONI





Mchumba huyo wa mtu aliyejitambulisha kwa jina moja la Diva alitoa kali ya mwaka baada ya kuzimia ghafla huku akitokwa na mapovu kinywani baada ya kunaswa na OFM akijiuza. 

Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita maeneo ya Kimboka, Buguruni, Dar ambapo msichana huyo pamoja na ‘madadapoa’ wenzake walikuwa wakifanya biashara hiyo haramu bila kificho.

Mara baada ya kuona wenzake wakiwa mikononi mwa nguvu za dola katika kamatakamata ya polisi, mrembo huyo ambaye baadaye alijitambulisha kama mchumba wa mtu, alianguka ghafla na kuzimia kiasi cha kuzua hofu miongoni mwa machangu wenzake walioangua kilio wakidhani mwenzao amekata ringi (kufa).

Baada ya muda msichana huyo alirejewa na fahamu akiwa mikononi mwa polisi na kuanza kuangua kilio akiomba asikamatwe kwa kuwa yeye ni mchumba wa mtu na atakuwa kwenye wakati mgumu kama mchumba’ke atajua anajiuza.

“Naomba msinikamate. Mimi ni mchumba wa mtu afande. Mtaniweka kwenye wakati mgumu kama akijua nilikuwa nikijiuza. Jamani nitamkosa mchumba wangu Luka,” alisema mrembo huyo huku akiomba maji ya kunywa.

Hata hivyo, kilio chake hakikuwazuia ‘OFM’ kufanya kazi yake ndani ya Kituo cha Polis

VURUGU CHADEMA:MWIGAMBA APINGA KUSIMAMISHWA..JOHN MNYIKA APIGILIA MSUMARI ADHABU YAKE



Arusha. Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba, amepinga uamuzi wa kusimamishwa kwa maelezo kuwa kikao kilichochukua uamuzi huo hakitambuliki kikatiba huku akikanusha tuhuma za kutumiwa na Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe, kukisambaratisha chama hicho.

Akizungumza jana na gazeti hili, Mwigamba alisema kikao ambacho kina mamlaka ya kumwajibisha ni Kamati Kuu baada ya kupokea tuhuma na kumsikiliza.

“Baraza la uongozi la Kanda halina mamlaka ya kunisimamisha uenyekiti, lakini kwa kuwa mimi bado ni mwanachama hai wa Chadema na sitahama Chadema, nitakaa pembeni ili chama kifanye uchunguzi wa tuhuma zangu nikiwa nje ya ofisi,” alisema Mwigamba.

Hata hivyo, alisema anakusudia kufafanua chanzo cha mgogoro wake na baadhi ya viongozi leo, baada ya kukabidhiwa kompyuta mpakato (laptop) na viongozi wa chama hicho ambao waliichukua ili kuifanyia uchunguzi.

Akana kutumiwa na Zitto

Akizungumzia tuhuma za muda mrefu kuwa, amekuwa akitumiwa na Zitto hasa kuelekea uchaguzi ndani ya chama hicho, alisema wanaofikiri hivyo ni vipofu wa kisiasa.

“Hizi tuhuma kuwa natumiwa na Zitto nimekuwa nikizisikia, lakini huo ni upofu, mimi si mtu wa kutumika nina elimu yangu nzuri ya shahada ya kwanza ya utawala wa biashara, najua ninachokifanya ni kwa masilahi ya chama,” alisema Mwigamba.

Alisema kama angekuwa mtu wa kutumiwa sasa, angetumiwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe ambaye ana uwezo wa kifedha kuliko Zitto au Katibu Mkuu, Dk Willibrod Slaa ambaye atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho na ana uwezekano wa kushinda.

Alisema kabla ya tuhuma za sasa kwamba anatumiwa na Zitto, aliwahi kutuhumiwa pia na Zitto kuwa anatuhumiwa na Mbowe hasa kutokana na misimamo yake na kauli zake katika vikao na maeneo mbalimbali, lakini baadaye ilithibitika kuwa alikuwa na hoja za msingi.

“Mimi ni mwanachama hai wa Chadema na nimekuwa nikitoa maoni yangu si kama Mwenyekiti wa Chadema Mkoa. Nina uhuru wa kutoa maoni katika kuhakikisha chama changu kinashika dola,” alisema Mwigamba.

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Mchungaji Israel Natse alitangaza juzi kusimamishwa Mwigamba hasa kutokana na tuhuma za kukichafua chama hicho kwenye mitandao ya kijamii.

Kabla ya hatua hiyo, Mwigamba alipata kipigo kutoka kwa vijana wa Chadema baada ya kutuhumiwa kurusha kwenye mtandao wa Jamii Forum tuhuma za matumizi mabaya ya fedha ndani ya chama hicho akiwa ndani ya kikao cha Baraza la viongozi Kanda ya Kaskazini.

Hata hivyo, wachunguzi wa mambo wanaamini kuna uwezekano kuwa mgogoro katika chama hicho unatokana na vuguvugu la uchaguzi uliosogezwa mbele hadi mwakani.

Kuna wasiwasi huenda yakajirudia ya mwaka 2009 wakati Zitto alipojaribu kuwania nafasi ya Mwenyekiti dhidi ya Mbowe na kuzua mvutano mkubwa ndani ya chama hicho.

Hata hivyo, Zitto aliweka bayana kuwa hawezi kuzungumzia mambo hayo kwani hafahamu hata huo uchaguzi wa ndani utafanyika lini.

Akizungumzia suala hilo, Katibu Mwenezi wa Chadema, John Mnyika alifafanua kuwa kikao kilichomsimamisha Mwigamba kilikuwa halali.

Mnyika alisema, hata hivyo, ikiwa Mwigamba hajaridhishwa na hatua hiyo anapaswa kukata rufaa na siyo kulalamika kwenye magazeti.

Alisema kuwa Mwigamba anapaswa kusoma katiba ya chama hicho na kuelewa mambo ya chama yanamalizwa na kikao husika na siyo kwenye vyombo vya habari. 

“Kikao kile kinaweza kumsimamisha ila kama hajaridhishwa na uamuzi ule basi aende kwenye ngazi inayofuata,” alisema Mnyika.


Mnyika, hata hivyo, alisema kwa ngazi ya taifa wanasubiri taarifa ya kikao kilichomsimamisha kwani walikuwa hawajapokea na wala kutumiwa malalamiko yoyote na Mwigamba.

-Mwananchi

PICHA ZINGINE ZA TAMASHA LA SERENGETI FIESTA USIKU WA KUAMKIA LEO DAR-NOMA SANAAA

Linah akikatika sambamba na Amin ndani ya Serengeti Fiesta 2013.
Rachel akilishambulia jukwaa la Fiesta 2013.
Peter Msechu akifanya vitu vyake stejini.
Snura 'Mamaa Majanga' akionyesha mbwembwe zake jukwaani.
Mwanadada Ray C akiwapa raha mashabiki wa Fiesta 2013 waliokuwa 'wamemmis' kwa muda mrefu.
Msanii Linah akifanya yake jukwaani.
Umati wa watu ukifuatilia shoo ya Fiesta 2013.
Mwanadada akitoa burudani kwa maelfu ya mashabiki waliohudhuria Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 ndani ya Leaders Club.
Msanii Menina akinyanyuliwa juu na wacheza shoo wake.
Wasanii mbalimbali wakiupamba usiku wa Serengeti Fiesta ndani ya Viwanja vya Leaders.