Sunday, August 29, 2010

MAO NA SOPHIA WAMEREMETA!!

Siku ya Ijumaa na Jumamosi tarehe 27th na 28th August, 2010 ilikuwa ni patamshika katika jiji la New York hususan pale Mt. Vernon na New Rochelle wakati ndugu zetu Mao na Sophia walipotujumuisha katika harusi kabambe ya Mwaka 2010.

 HONGERA SANA MAHARUSI!!!


 
Maharusi wakiwa wanaingia ukumbini kwa madaha ya hali ya juu!


Maharusi wakijitayarisha kukata keki!!


Dj wetu maarufu toka Minnesota ambaye hata haitaji hutambulishi alikuwepo kuwarusha watu kwa siku zote mbili za sherehe!


Palikuwa hapatoshi....


Wadau mbali mbali waliwakilisha!

Kulikuwa na baa katika kila kona ya ukumbi na kila aina ya kinywaji!


Nikila mapozi na wanaosadikiwa kuwa waanzilishi wa jumuhiya ya Wabongo New York,  Bwana Fredrick Chagula na Bwana Henry Stambuli


Tukijitayarisha kuingia ukumbini na mama!!


Wakina dada wakila maraha usiku wa mkesha wa harusi!


Mdau wa Boston, Innocent naye alikuwepo kuwakilisha mkeshani.


Bwana harusi alionekana kuwa mtulivu na tayari kwa harusi usiku wa mkesha.

Friday, August 27, 2010

Kenya gets new American-style constitution



NAIROBI, Kenya – Kenya's president signed a new constitution into law Friday that institutes a U.S.-style system of checks and balances and has been hailed as the most significant political event since Kenya's independence nearly a half century ago.

Kenya's new constitution is part of a reform package that President Mwai Kibaki and Prime Minister Raila Odinga committed themselves to after signing a power-sharing deal in February 2008. That deal ended violence that killed more than 1,000 people following Kenya's disputed December 2007 presidential vote.

"I feel honored to be your President at this moment because this is the most important day in the history of our nation since independence," said the 78-year-old Kibaki. He was a senior official of Kenya's independence party, the Kenya African National Union, when Britain handed over power in 1963 to its leader, Jomo Kenyatta.

Odinga said the new constitution was a major step in bridging Kenya's political and ethnic divisions.

"No one could have thought that out of the bitter harvest of the disputed election and the violence that pitted our people against each other just two years ago, we would be witnessing today the birth of a national unity that has eluded us for more than 40 years," Odinga said.

Friday's event comes after an overwhelming majority of Kenyan voters adopted the new constitution in an Aug. 4 referendum. Kibaki's signature formally marks the end of a decades-long struggle to cut down the massive powers of the presidency.

The government and parliament now must implement the ambitious document, a process expected to take up to five years. The document requires, among other things, the formation of a Supreme Court and a Senate. It also demands that the country's judiciary be vetted to rid it of corrupt or incompetent judges and that parliament pass 49 new laws.

Patrick Gichuki, a street vendor, painted his body in the colors of the Kenyan national flag and the words "Kenya mpya" — new Kenya.

"We are happy to be Kenyans and we are happy that Kenya has a new constitution," said Gichuki, who hopes the new constitution will help address the many problems facing Kenyan youth.

Emmy Kosgei, who sang during the festivities and got all the VIPs dancing at the podium, said the signing of a new constitution signified a new beginning for the country and she was proud to be part of it.

"Most of us have grown up reading about such events as history," she said. "But today we are a part of history."

Joining African leaders at the festivities was Sudan's president who faces charges of genocide and crimes against humanity in connection with violence in Darfur, where U.N. officials estimate 300,000 people have died.

It is only the second time that Omar al-Bashir has risked arrest by traveling to a member state of the International Criminal Court since he was first charged in 2009. The ICC has no police force and depends on member states to enforce its orders.

Human rights groups had urged the Kenyan government to bar al-Bashir from the festivities but Kenya's foreign minister defended al-Bashir's presence.
MDIGO WA MWANG'OMBE, TANGA - ETI NAYE ANATAKA KUJARIBU 2015!

Thursday, August 26, 2010


Casual President - head to toe!

?.
Wildebeest roadblock? Highway planned in Serengeti

Tanzania's Serengeti is a vast plain dotted with acacia trees and watering holes, where wildebeest and zebra gather in huge herds for annual migrations. But conservationists warned Wednesday that one of the world's natural wonders will be scarred and the ancient migratory patterns destroyed if Tanzania's government carries through with a plan to build a highway through the park.

The Wildlife Conservation Society and the Zoological Society of London called on Tanzania to reconsider the plan. "The Serengeti is the site of one of the last great ungulate (hoofed) migrations left on Earth, the pre-eminent symbol of wild nature for millions of visitors and TV viewers, and a hugely important source of income for the people of Tanzania through ecotourism," said James Deutsch, executive director of the WCS's Africa Program. "To threaten this natural marvel with a road would be a tragedy," Deutsch said.

Tanzania plans to build a 420-kilometer (260-mile) road between Arusha, near Mount Kilimanjaro, and Musoma, on Lake Victoria, in 2012. The route would bisect the northern Serengeti, potentially jeopardizing the 2 million wildebeests and zebra who migrate in search for water from the southern Serengeti north into Kenya's adjacent Masai Mara reserve.

Tanzania's government says the road is needed to connect the country's west with commercial activity on the eastern coast. The president has vowed to move forward with its construction. A spokesman for Tanzania National Parks, Pascal Shelutete, said the road won't be built until feasibility studies have been done.

"All the precautions will be taken care of. The government is aware of the importance of this portion of the road," Shelutete said. "The project won't take off until all the kinds of studies are carried out to see what will be the positive and negative impact of it." But Tanzanian media have previously quoted officials as saying such feasibility studies have already been completed and that the road project is on track.

Critics say a new highway could just as easily be built through the southern parts of the park and not harm the migratory route.

The northern road could provide easier access for poachers, and conservationists predict a "catastrophic decrease" in wildebeests and zebras, both from a stunted migration and animals being hit by vehicles.

"Once that starts to happen officials are going to want to put a fence up, and once you have a fence you stop the migration completely," said Sarah Christie, a conservationist at the Zoological Society of London.

The Frankfurt Zoological Society sounded an alarm against the road earlier this year, saying its construction would have "disastrous effects" on the region's ecosystem.

A Kenya Wildlife Service spokeswoman, Kentice Tikilo, said the road would negatively affect Kenya's Masai Mara, which sits directly above the Serengeti. Animals move back and forth over the border between the two parks. If the road is built and the animal populations dwindle, Masai Mara stands to lose animals and consequently fewer tourists will want to visit. "At the end of the day we want to be sure conservation wins, whether it's on the Tanzania side or the Kenya side," Tikilo said. "We are all conservationists and we want to be sure we preserve our heritage."

Tuesday, August 24, 2010

Miss Universe 2010 Jimena Navarrete of Mexico!

Ingawa dada yetu Hellen hakuibuka na ushindi katika mashindano ya warembo duniani mwaka huu,  lakini kitendo cha kuliwakilisha na kulitangaza taifa letu Duniani ni ushindi mkubwa sana kwa Hellen!  HONGERA SANA HELLEN KWA MCHANGO WAKO!!

Monday, August 23, 2010

Masikini mzee wetu Mugabe... pengine na yeye angekuwa na heshima ya kukaa na wastahafu hapo mbele! lakini...  
Miss Universe 2010


Miss Zambia - Alice Musukwa

Miss Ghana- Awurama Simpson

Miss Egypt - Donia Hamed

Miss Tanzania - Hellen Dausen

Miss Angola - Jurema Ferraz

Miss Nigeria - Ngozi Odalonu

Miss South Africa - Nicole Flint

Miss Botswana - Tirelo Ramasedi

Hawa ndio wawakilishi wa bara letu la Afrika kwenye mashindano ya warembo Ulimwenguni mwaka huu!
Kwenye ulimwengu wa Tennis hawa madada bado wanatisha sana...
Mimi nilidhani maana nzima ya nyumba ni kukuthitiri na walio nje! sasa nyumba ya kuona kila kilicho ndani maana yake ni nini?
Kama utakua umefika pale jijini Arusha na pia ni mpenda maraha basi siajabu sehemu hii itakuwa inakujia vizuri sana!
A-TOWN ENZI HIZO!!!

Natatumaini kuwa mnaendelea vyema na shughuli za kila siku za kujenga taifa..Jambo la msingi tu kuhusu email hii hi kuwaomba wana blog wenzangu kuweza kunisaidia kuwataarifu wasomaji kupitia blog zenu kuhusu mabadiliko ya blog yangu kutoka www.angaliabongo.co.tz na sasa kuwa www.angalia-bongo.com

Natumaini mtaweza kunisaidia kwa hilo.

NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI.

SARAH.

Thursday, August 19, 2010

Kamanda wa FFU! Ras Makunja (pichani) akirusha hewani wimbo "Jakaya Kikwete 2010" kwa hisia za kali za Nguvu na Kasi kubwa zaidi katika tamasha la kimataifa la World Music festival,mjini Loshausen,Ujerumani
Mziki wa Ngoma Africa Band wapokelewa kwa NGUVU na KASI Kubwa Zaidi na washabiki

FFU wa Ngoma Africa Band wakitingisha jukwaa la World Music Festival,Mjini Loshasen,ujerumani ambapo mziki wao ulikubalika na washabiki na kuweka rekodi ya kuwa bendi bora iliyoweza kuwanasa washabiki na kupelekana na puta bila mapunziko.

Bendi hiyo yenye tabia za kuwadatisha hakili washabiki na mdundo wao "Bongo Dansi" imejiozolea umarufu kila kona duniani na kufanikiwa kujizolea mihaliko ya kutumbuiza katika majukwaa mbali mbali,kutokana na tabia zao hizo za kuwadatisha hakili washabiki kwa njia ya mziki "Ngoma Africa band" imejikuta bize bila ya kumpuzika kwa kuwatumikia washabiki na kuwapa mziki ambao unahitajika kwao!

hata hivyo gwaride la FFU litaendelea kupiga kasi kwa nguvu katika jukwaa la ALAFIA Festival mjini Hamburg,ujerumani siku ya 29.08.2010

onyesho litafanyika katikati ya kitovu cha mji wa Hamburg,Hamburg-Altona.

Pata raha zaidi at www.myspace.com/thengomaafrica

Wednesday, August 18, 2010