Thursday, August 30, 2012

KUTANA NA WAREMBO WENYE NDOTO ZA KUWA WANAMITINDO WA KIMATAIFA

 Mrembo Rahma Jumanne (20) (katikati) akiwa na warembo wenzake (kushoto) Badria Swale, Susan Robert (wa pili kulia) ni Everine Manfred na Cesilia Chitanda, wakipozi kwa 'Snap', wakati walipokutana kwenye Ufukwe wa Coco Beach wote wakiwa katika harakati za kupiga picha za mitindo na Movie jijini Dar es Salaam jana. 
 
 
 Rahma Jumanne, ni mzaliwa wa Mkoa wa Kigoma, amehitimu masomo ya Msingi katika Shule ya Msingi Kigoma, na kuendelea na masomo ya Sekondari katika shule ya Kinyigo na sasa anaendelea na masomo ya elimu ya juu katika Chuo cha Kampala International College (Information Technology ICT).
 
 
  Rahma Jumanne, ni mtoto wa nne katika familia yao yenye watoto wa 5, wa Mzee Jumanne.
 
 
 Rahma Jumanne, anapendeea Modelling, Muziki, Movie kusoma habari za kila siku katika magazeti na kusikiliza redio, kusoma Novel.
 
 
 Pia, Rahma Jumanne, ni mcheaji mzuri wa mpira wa Pete (Netiboli) na Basket Ball.
 
Rahma Jumanne,katika shughuli hizi za mitindo, anasimamiwa na Kampuni ya Next Logistics, ili aweze kufikia malengo yake na kuonyesha kipaji chake katika mitindo na mavazi. Mrembo huyu hivi sasa anafanya kazi za ICT na kampuni ya Poa Technology Ltd, akiendelea kujipanulia wigo wa ujuzi na elimu katika masuala ya ICT, katika chuo cha Kampala kilichopo jijini Dar es Salaam. 
MDAU WA MITINDO NA UREMBO UKIHITAJI KUSHIRIKI NAYE WASILIANI NA MTANDAO HUU SIMU ZILIZOPO KATIKA UKURASA HUU.

DAR-ES-SALAAM -TANZANIA

Wednesday, August 29, 2012

HURRICANE ISAAC PONDS LOUISIANA


Stranded: The Lewis family stands on the front porch as flood waters surround their home on St. Roch Avenue in New Orleans
Stranded: The Lewis family stands on the front porch as flood waters surround their home on St. Roch Avenue in New Orleans
Search: Officer Ted Johnson inspects a road along Mobile Bay as waves crash over the sea wall from Hurricane Isaac's storm surge in Mobile, Alabama
Search: Officer Ted Johnson inspects a road along Mobile Bay as waves crash over the sea wall from Hurricane Isaac's storm surge in Mobile, Alabama
Relief: Carlo Maltese and his dog Pin ride in a boat after being rescued from his flooded home in Braithwaite. Police in the area received 150 calls for help
Relief: Carlo Maltese and his dog Pin ride in a boat after being rescued from his flooded home in Braithwaite. Police in the area received 150 calls for help
Submerged: Boats are battered in the harbor as slow-moving Hurricane Isaac passes through Pass Christian, Mississippi on Wednesday
Submerged: Boats are battered in the harbor as slow-moving Hurricane Isaac passes through Pass Christian, Mississippi on Wednesday
Chaos: A street sign is turned upside down likely resulting from bricks falling overnight from a building along the deserted streets of New Orleans
Chaos: A street sign is turned upside down likely resulting from bricks falling overnight from a building along the deserted streets of New Orleans
Over: An uprooted and fallen tree is positioned in front of a house in New Orleans as Isaac battered the city and surrounding region, flooding homes
Over: An uprooted and fallen tree is positioned in front of a house in New Orleans as Isaac battered the city and surrounding region, flooding homes
Demolition: A tree leans against a house after Isaac pummeled New Orleans on Wednesday
Demolition: A tree leans against a house after Isaac pummeled New Orleans on Wednesday
Dash: A pedestrian runs through the rain across an empty road in new Orleans. Some areas can expect as many as 24 inches of rain, forecasters said
Dash: A pedestrian runs through the rain across an empty road in new Orleans. Some areas can expect as many as 24 inches of rain, forecasters said
Isaac was the first test for multibillion-dollar flood defenses built after levees failed under Katrina's storm surge, leaving large parts of New Orleans swamped, killing 1,800 people and displacing nearly a million more in the costliest natural disaster in U.S. history.
On Wednesday afternoon, officials in New Orleans said they are imposing a dusk-to-dawn curfew as Hurricane Isaac continue lashed the city. The curfew was set to start Wednesday night and would last until further notice.
Yet earlier this week, Federal Emergency Management Agency officials assured residents that the updated levees around the city are equipped to handle storms stronger than Isaac. Levee failures led to the catastrophic flooding in the area after Katrina.
'It's a much more robust system than what it was when Katrina came ashore,' said FEMA Administrator Craig Fugate.
New Orleans Mayor Mitchell Landrieu told local radio on Monday: 'All of the levees are holding and are very strong. There are no risks. It is holding exactly as we expected it to and is performing exactly as it should. There are no people on rooftops from flooding that even approximates what happened during Katrina.'
But Plaquemines Parish was outside the city limits that benefited from the beefing up of New Orleans' flood defenses.
Battle: A research student from the the University of Alabama measures wind speeds as Hurricane Isaac rattled New Orleans on Wednesday
Battle: A research student from the the University of Alabama measures wind speeds as Hurricane Isaac rattled New Orleans on Wednesday
In the midst: Rain from Hurricane Isaac falls over deserted Bourbon Street in New Orleans on Wednesday as the storm moves further north
In the midst: Rain from Hurricane Isaac falls over deserted Bourbon Street in New Orleans on Wednesday as the storm moves further north
Hitting hard: A parking attendant booth is overturned on Poydras St. downtown after Hurricane Isaac made landfall in New Orleans on Wednesday
Hitting hard: A parking attendant booth is overturned on Poydras St. downtown after Hurricane Isaac made landfall in New Orleans on Wednesday
Members of the Army National Guard patrol Bourbon Street in the French Quarter
A man struggles with his rain cover as he walks up Bourbon Street in the French Quarter
Patrol: National Guardsman watch over Bourbon Street in the French Quarter of New Orleans as a man struggles with his rain cover in the same street
Stocking up:People stand in line for supplies on Elysian Fields Ave in New Orleans
Stocking up:People stand in line for supplies on Elysian Fields Ave in New Orleans
Down: An uprooted tree lies across Poydras Street. Isaac was packing 80 mph winds, making it a Category 1 hurricane when it hit the coast on Tuesday
Down: An uprooted tree lies across Poydras Street. Isaac was packing 80 mph winds, making it a Category 1 hurricane when it hit the coast on Tuesday
Staying strong: Henry Tabbe checks out the damage in his neighborhood as Hurricane Isaac pushes into the New Orleans metro area on Wednesday
Staying strong: Henry Tabbe checks out the damage in his neighborhood as Hurricane Isaac pushes into the New Orleans metro area on Wednesday
Shelter: Waveland public works employee Darryl Antoine looks over his cousin's house near the beach in Waveland, Mississippi as rain floods the street
Shelter: Waveland public works employee Darryl Antoine looks over his cousin's house near the beach in Waveland, Mississippi as rain floods the street

Swamped: Dana's Seafood and nearby homes are flooded from storm surge in Bayou La Batre, Alabama
Swamped: Dana's Seafood and nearby homes are flooded from storm surge in Bayou La Batre, Alabama
Keeping busy: New Orleans resident Patrick O'Cain rakes fallen leaves and branches in the light rain
Keeping busy: New Orleans resident Patrick O'Cain rakes fallen leaves and branches in the light rain
Fighting the storm: A couple watches as waves break along the beach in Gulfport, Mississippi as Isaac approaches
Fighting the storm: A couple watches as waves break along the beach in Gulfport, Mississippi as Isaac approaches
Warning
Warning: Waves from Hurricane Isaac smash against a warning sign at a flooded beach in Biloxi, Mississippi
Prepared: Utility trucks are staged in a parking lot ready to respond in Mobile on Wednesday
Prepared: Utility trucks are staged in a parking lot ready to respond in Mobile on Wednesday
Crossing
Crossing: People make their way across Canal Street on August 28, 2012 in New Orleans, Louisiana
Treacherous

Prepared
Prepared: A Louisiana National Guard humvee drives down Bourbon Street in the French Quarter as Hurricane Isaac approaches New Orleans, Louisiana, August 28, 2012
Standing watch: Police stand at a French Quarter intersection in New Orleans on Wednesday. More than 4,000 National Guardsmen have been deployed to the area
Standing watch: Police stand at a French Quarter intersection in New Orleans on Wednesday. More than 4,000 National Guardsmen have been deployed to the area
Stock Up
Stock Up: Brigette Mooney shops for two-for-one frozen items at Seal's Marketplace on August 28, 2012 in Kiln, Mississippi. Store owner Michael Seal said he put all his frozen items on sale, both for the benefit of his local clients and also to reduce his stock ahead of the arrival of Hurricane Isaac to the Gulf Coast area and possible power outages
Hope: A board covering a store window in the French Quarter asks shoppers to return again after Wednesday - the day Isaac is expected to hit the city
Hope: A board covering a store window in the French Quarter asks shoppers to return again after Wednesday - the day Isaac is expected to hit the city

MZAMBIA MAYUKA ASAJILIWA SOUTHAMPTON LEO KWA MKATABA WA MIAKA MITANO... SASA KUIVAA MAN U J'PILI

Emmanuel Mayuka... hapa akishangilia goli aliloifungia Zambia katika mechi mojawapo ya fainali zilizopita za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2012)
 
LONDON, England
Klabu ya Southampton inayoshiriki Ligi Kuu ya England imeongeza nguvu katika safu yake ya ushambuliaji baada ya kukamilisha usajili wa straika nyota wa timu ya taifa ya Zambia, Emmanuel Mayuka kutoka katika klabu ya Young Boys Bern ya Ligi Kuu ya Uswisi.

Straika huyo mwenye miaka 21, ambaye pia alikuwa akifukuziwa na QPR, amesaini leo mkataba wa kuichezea Southampton kwa miaka mitano baada ya jana kufuzu vipimo vya afya.  

Kocha wa Southampton, Nigel Adkins amesema kuwa anajiandaa kumtumia Mayuka katika mechi yao ya Jumapili ya Ligi Kuu ya England watakayocheza dhidi ya Manchester United.

"Emmanuel ni straika mwenye kasi na ambaye naamini kuwa atawaletea raha mashabiki," Adkins ameiambia tovuti ya Southampton.

"Ndio kwanza ana miaka 21 lakini tayari ana uzoefu wa kutosha, hasa katika mechi za kimataifa.

"Atatuletea kitu fulani tofauti na kile ambacho tayari tunacho hapa Southampton, na tunaangalia uwezekano wa kumjumuisha kikosini kwa mara ya kwanza," amesema Adkins, kumuelezea Mayuka ambaye mabao yake yaliisaidia Zambia kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa mara ya kwanza kufuatia ushindi wao katika fainali dhidi ya timu ya taifa ya Ivory Coast iliyokuwa na nyota kibao kama Didier Drogba, Yaya Toure, Gervinho na Kolo Toure.

Mayuka ambaye ameshaichezea Zambia mara 36 tangu alipoanza kuvaa jezi za timu yake ya taifa mwaka 2007, alitwaa tuzo ya kiatu cha dhahabu katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2012. Hadi sasa ameshaifungia Zambia mabao 10.

Mbali na Mayuka, Southampton iliyopanda daraja msimu huu na kuburuta mkia katika msimamo wa ligi baada ya kupoteza mechi zao zote mbili za mwanzo wa msimu, iko mbioni pia kumsajili winga wa Uruguay, Gaston Ramirez kutoka katika klabu ya Bologna ya Italia.

SERENA WILLIAMS KIBOKO... AJIACHIA BICHI NA KICHUPI WEEE...AFU ATINGA KWENYE MICHUANO YA TENIS YA U.S OPEN NA KUONYESHA KIWANGO CHA JUU HUKU AKITAMBA KWA KUSEMA: MIMI ND'O MKALI WA TENIS NA. 1


Hebu nicheki.... Serena Williams akijaichia katika fukwe za Miami Kusini.
Na pozi hili je...? Serena Williams akifaidi maraha ufukweni.
Kwanza tukanywe madafu ... Serena Williams na shosti wake wakiwa bichi.
Na huku je? Mmmh...fumbeni macho please! Serena Williams akiwa bize na raha za ufukweni.
Sijui niondoe kabisa na hivi vinguo? Serena Williams
Fumbeni macho please...! Vibweka vya Serena Williams wakati akiwa kwenye fukwe za Miami Kusini.
Wacha niwatumie meseji wasomaji wa STRAIKA.
Mwili haujengwi kwa matofali ati...! Hapa Serena akipata vimisosi laini vya bichi.
Mwasho? Mambo ya Serena Williams awapo ufukweni.
Mambo..! Serena Williams akiendelea kujaichia ufukweni. 
Mie nshachoka...nasepa! Serena Williams na mashosti zake wakiondoka baada ya kujiachia kwa sana katika fukwe za Miami Kusini.
Hapa sasa ni kazi tu...mambo ya kula bata hukooooo! Serena Williams akishangilia baada ya kumchapa Coco Vandeweghe katika siku ya pili ya michuano ya tenis  inayoendelea ya US Open 2012 kwenye kituo cha tenis cha USTA Billie Jean King jijini New York jana.   
NEW YORK, Marekani
Licha ya kuonekana mwezi huu akijiachia mara kadhaa huku akiwa na "kichupi" tu katika fukwe za kusini mwa Miami, nyota huyo wa tenis ameonyesha kiwango cha juu katika michuano ya tenis ya U.S Open na kushinda kwa pointi 6-1 6-1 dhidi ya Coco Vandeweghe kabla ya kutinga raundi ya pili huku akitamba kuwa yeye ndiye Na.1 duniani kwa sasa na hakuna mkali mwingine zaidi yake.

Kwa mujibu wa viwango rasmi vya mchezo wa tenis kwa upande wa wanawake duniani, Serena Williams anakamata nafasi ya nne, akizidiwa na akina Victoria Azarenka.

"Hilo liko wazi... najichukulia kuwa mimi nd'o namba moja kwa ubora wa tenis duniani," amesema Serena.

"Kuna wachezaji wengi katika mchezo huu... sijali kuhusu nafasi yangu katika viwango vinavyotolewa vya ubora wa tenisi. Nimekuwa namba moja. Niko poa. Lengo langu ni kuwa mchezaji bora duniani. Kama ninashinda na bado siwi namba moja, poa tu."

Baada ya kutinga raundi ya pili ya michuano ya U.S Open   inayoendelea kwenye uwanja wa kituo cha USTA Billie Jean King jijini New York, Serena sasa atacheza dhidi ya Mhispania Maria Jose Martinez Sanchez

UKISTAAJABU YA MUSSA....NI KWELI YAMETOKEA KIJANA AFUNGA NDOA NA MAMA YAKE MZAZI BAADA YA BABA YAKE KUFARIKI


Mke na Mume, Bi Condorada Ngonyani (70) na Bw. Joseph Mapunda, ambao ni Mama na Mwanawe, wakiwa nje ya nyumba ya Mganga, wakati walipofikishwa kwa suala hilo la Mama Mzazi na Mwanawe kufunga ndoa.
Na Mwandishi Wetu, Namtumbo Ruvuma
MARA kadhaa kumekuwa kukijitokeza matukio mbalimbali ya kustaajabisha, kusikitisha na kutisha na mengine yakihisiwa kuwa ni imani za kishirikina, ambapo mengi ya matukio hayo ambayo hutokea si kwingine ni hapa hapa nchini kwetu, huwaacha watu hoi na maswali mengi yasiyokuwa na majibu.
Kwa mara nyingine tena tukio la kushangaza na kutoaminika kama ni kweli ambalo huwezi hisi kuwa ni la imani za kishirikina, kwani wahusika wote wamefanya hivyo kwa malengo na kuweka wazi sababu za kufanya hivyo japo si sahihi kwa itikadi za kidini, mila na destuli za mtanzania
Tukio hili ni Mama Condorada Ngonyani (70) mkazi wa mkoani Ruvuma, ambaye aliamua kufunga ndoa na mtoto wake wa tatu wa kiume wa kimzaa na kuishi naye kinyumba kama mke na mume, ambapo wameonekana wao kama wao kuwa wapo sahihi na kuwashangaa wanadam, majirani zao na Jamii kwa ujumla kuingilia mapenzi yao.
Wananchi wapatao 400, wa mkoa wa Ruvuma walijitokeza kushuhudia kimbwanga hii wakati uongozi wa Serikali ya Mtaa walipoamua kuwafuatilia na kuwahoji na kuitisha mkutano wa wanakijiji na kuwaweka hadharani, ambapo Wananchi wa Mkoa wa huo wameiomba Serikali kupitia Wizara ya Maendelo ya Jamii, Jinsia na watoto, kufuatilia kwa karibu suala hilo na kuwaondoa hofu wananchi kama kuna sheria inayomruhusu Mtoto na Mama Mzazi kuweza kuishi kindoa.
Alipohojiwa Mama huyo, Condorada Ngonyani, anasealisema kuwa mara tu baada ya kufariki mume wake, Mzee Mapunda, yeye aliamua kumchagua mtoto wake huyo Joseph Mapunda, ili amrithi baba yake katika kuumiliki mwili wake kama ambavyo alikuwa akifanya Baba yake mzazi, ili kuondokana na tamaa na vishawishi wa kiulimwengu.
Alisema kuwa baada ya uteuzi huo walifunga ndoa ya kimila japo kuna baadhi ya wanafamilia hawakufurahishwa na tukio ama jambo hilo, lakini yeye aliamua kufunga masikio na kuamua kuvunja amri ya sita na mtoto wake huyo wa kumzaa.
Tukio kama hili ni mara ya kwanza kutokea kwa mkoa wa Ruvuma na hata kwa Tanzania nzima, ambapo wakaazi wa Ruvuma wamekuwa wakibaki na maswali mengi juu ya tukio hilo na kuhoji Jamii sasa inaelekea wapi kwa baadhi ya Watanzania kuibomoa wenyewe mila na desturi zetu.
Kwa upande wake, Joseph Mapunda, yeye anasema kuwa upendo na mahaba anayoyapata kutoka kwa mkewe huyo ambaye ni mama yake mzazi, hajawahi kuyapata kokote na kusema kuwa wanapendana sana na wanaheshimiana kama mke na mume.
Josepha amehiji kulikoni wanadam kuwafuatilia katika mapenzi yao na kusema kuwa ''hawa watu wanaotufuatilia hadi leo hii kutuweka hadharani namna hii, wanataka nini kwetu?''.
Wananchi hao waliofurika kwa Mganga wa Jadi Flora Ndembo, wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma, wameiomba Serikali kuingilia kati suala hilo na kuchukua hatua kisheria ili iwe fundisho kwa wanatanzani wengine wenye akili kama hizo za kuharibu mila na desturi za kitanzania kirahisi kama hivyo. Picha na Songea Habari


Bi. Condorada Ngonyani. ''Nawashangaa wanadam kuingilia mapenzi yangu, mtuache''.
 
 


Bwana, Joseph Mapunda, ''Wananchi mtatutakia nini na mapenzi yetu???

HUYU NDIYO MREMBO WAKUTOKA TANZANIA ANAETUWAKIRISHA MISS EAST AFRICA


.


.


.

Jina lake ni Juliana Pierre mtanzania ambae yuko kwenye list ya warembo wanaolitaka taji la Miss East Africa Belgium 2012 ( representing Tanzania), mwenye nguvu ya kumuweka kwenye nafasi ya ushindi ni wewe pekee kwa kulike page yake ya facebook… please tumsupport mtu wetu kwa kukopi na kulike hiyo page yake ya facebook hapo chini, mimi nimeshalike tayari….
http://www.facebook.com/Juliana Pierre Finaliste Miss East Africa Belgium 2012

Monday, August 27, 2012

UFUNGUZI WA TAWI LA CCM DMV ULIVYO FANA

 MH. Abdulrahman Kinana kutoka Tanzania ndiyo alikuwa mgeni rasmi katika shughuri hizo ha kama anvyo onekana akiingia ukumbini kwa shangwe na vifijo kitoka kwa anachama waliojitokesha ukumbini hapo.
Mwenyekiti wa tawi la CCM, DMV Loveness akitoa maneno mchache na kumkaribisha mgeni rasmi ukumbini hapo.
 
 
 Kama unavyoona bendera ya chana juu kuashiria furaha na nguvu ya chama tawala duniani kote ambako watanzania wanapatikana bado wanajivunia CCM.
 
 
Bwana Maftah mwenyekiti wa tawi la CCM New York akisoma lisara kwa MH. Mgeni rasmi Abdularahman Kinana kabla ya kuanza kuongea mawili matatu ukumbini hapo.
 
 
MH. Abdulrahman Kinana akiongea machache mbele ya wanachama wa CCM waliojitokeza ukumbini hapo kuja kufanikisha ufunguzi wa matawi, ufunguzi wa matawi huo ulihusisha sehemu mbali mbali na kuhuzuriwa na viongozi wa matawi hayo kutoka sehemu zao, Kama kutoka New York, North Carolina, Minnesota na Texas.
 


 Meza kuu ikiwa na viongozi kutoka sehemu mbali mbali pamoja na mgeni rasmi Mh. Abdulrahman Kinana. Na mlezi wa tawi la CCM, DMV na mweyekiti wake Loveness.
 
 
Picha ya pamoja na viongozi wote wa matawi