Monday, September 30, 2013

JEMBA YACHEZEA KICHAPO NA CHANGUDOA BAADA YA KUPEWA BILA KULIPA

Denis Mtima na Irene Profil
WAKATI Oparesheni Fichua Maovu (OFM) inayoendeshwa na Global Publishers ikiwa mzigoni, imenasa tukio la fedheha kwa njemba mmoja akichezea kichapo ‘hevi’ kutoka kwa wanawake waliosadikiwa kuwa machangudoa.
Katika tukio hilo lililojiri hivi karibuni majira ya asubuhi, maeneo ya Afrika Sana jijini Dar, jamaa huyo alidaiwa kuopoa changu ambaye alikwenda kumpa ‘mambo’ ya kiutu uzima kisha wakazinguana.
Mashuhuda wa tukio hilo ambao kwa sehemu kubwa walikuwa ni madada poa, walidai kuwa baada ya jamaa huyo kupewa huduma ya penzi jirani na eneo hilo aligoma kulipa hivyo timbwili zito likaibuka.

Ilidaiwa kuwa wakati jamaa huyo akitoka nduki, wanawake hao waliounda umoja wao walipiga kelele za mwizi na kusababisha wenzao waliokuwa jirani kufanikiwa kumdhibiti kisha kumpa kichapo huku wakimchania nguo na kuzua taharuki kubwa.
Pamoja na kufurukuta, jamaa huyo alishindwa kuhimili mangumi ya wanawake hao waliokuwa na hasira ya ajabu hadi akajikuta akitokwa na kijasho chembamba kabla ya kufanikiwa kuwakimbia.
Akizungumza na OFM, dada huyo aliyegoma kujitambulisha alisema kwamba jamaa huyo aligoma kutoa kiasi cha fedha walichokubaliana (aligoma kutaja) kabla ya kwenda kufanya mapenzi.
“Haiwezekani mtu tumekubaliana vizuri na amepata huduma safi, iweje agome kutoa mtonyo (fedha)? Hii ni kazi kama kazi nyingine kwa nini asiiheshimu? Anadhani mimi nitakula wapi wakati ajira zenyewe wanapeana wakubwa?” alihoji mwanamke huyo huku akiondoka eneo hilo baada ya kutulizwa mizuka na wenzake.

Sunday, September 29, 2013

AKUDO IMPACT PENZI LAKO KAMA WEWE NI MPENZI WA AKUDO BASI HII INAKUHUSU

BINTI AVULIWA NGUO HADHARANI BAADA YA KUMKATA KISU RAFIKI YAKE KATIKA UGOMVI



Hawa mabinti wawili walikuwa marafiki wa damu. Inasemekana ugomvi kati yao ulitokea baada ya mabinti hao kusalitiana na kuchukuliana mpenzi. Chanzo kingine kinasema sio kweli kwamba walikua wakigombea mpenzi bali mtuhumiwa alimkata mwenzie usoni na kiwembe kisa alimuita mama yake kahaba. 


From the Source:
They said this happened in Benue State and the two girls fought over a sugar daddy. But a better source has said, it is not true, that the girls fought because one of them called the other's mother a pro'stitut. In order to retaliate, she cut her friend's face deeply with a razor blade. It was learnt that people who were passing by, who saw how deep the cut was, ordered the other girl to remove her clothes to serve as punishment for her. But when she refused, the men forcefully removed her clothes and stripped her naked. Continue below...

It's so disgusting and this is unbelievable. What she has done is wrong, she shouldn't have used arazor blade on her friend. But men, is this the latest now? Whenever a girl steals, fights or misbehaves, instead of you to report her to the right authorities, you take the laws into your hands. You strip her naked just because you want to see her nakedness. God will judge you all. SHAME on every man who takes part in this. BIG SHAME

MH. RAIS AKUTANA VIONGOZI KWA NYCT

Juu na chini Mh. Rais Jakaya Kikwete akiingia sehemu iliyokuwa imeandaliwa kwa ajili ya kukutana na viongozi wa NYTC, Rais alipata fulsa ya kukutana na viongozi wapya wa Jumuiya ya watanzania New York, Viongozi hao walichaguliwa hivi karibuni na kuongea machache juu ya mstakabari wa maendeleo ya nchi ya Tanzania. Mh aliulizwa maswali mawili matatu na aliyajibu.
Mh akisalimia na watanzania hapa ni Mchungaji mama Butiku
Makamu katibu Dr Mariam akisalimia na Mh Rais Kikwete
Na baada ya kusalimie alikaa chini na kuanza kuongea na kutoa nafasi ya maswali na kujibu
Watanzania wakimsikiliza Mh Rais alivyokuwa anaongea upande wa kushoto wa rais ni Balozi Mwinyi na Katibu wa Jumuiya New York bwana Mhella.
Kikaa kiliendelea kwa viongozi kwa jumuiya kujitambulisha kwa rais
Mh. Rais Kikwete akijibu maswali aliyo ulizwa na watanzania
Kila mmoja alilizika na swali alilo uliza kwa Mh, alijibu na kutoa maelezo pale patapo itajika ufafanuzi juu ya swali hilo.
Baada ya kumaliza maongezi na lunch hiyo Mh. Rais alitoa fulsa ya kupata ukodak kama kumbukumbu
Na hapa Mh. Rais akitoka sehem ya Lunch na kuelekea sehem ya kupata ukodak wa kumbukumbu, Pembeni kamata wa matukio Zavara akimsindikiza Mh kwa camera, Kwa Picha Taswira zaidi bofya soma zaidi.
Mh. Balozi Manongi kushoto na katikati ni Mh Rais na Balozi Mwinyi wakipata ukodak na Rais Jakaya Kikwete.


Thursday, September 26, 2013

FLORA LYMO APOST PICHA ZINGINE NA KUTOA SOMA "HOW TO LOOK SEXY AT HOME' NAOMBENI MATUSI MAPYA PLEASE''

HAHHAHAAA''HIVI WALE HUENDA BAHARINI HUWA WANAKWENDA KULE NA MAGUNIA AU WANAKWENDAGA VIPI JAMANI ''MAANA NAONA NIMEWATETEMESHA SANA LAST WEEK ''BUT KWASABABU WENGI MLIPENDA NIMEONA NIWAONGEZEENI NA HII ITAKUWA FROM NOW 'KILA NITAKAPOJINAFASI WILL POST YOU A NEW SEXY PHOTO'S OF YOUR TOP IN TOWN'FLORA LYIMO FASHION POLICE" LOOK AT ME''' DO I CARE??? RUWA MANGI OTE KAPITSA MBAO''
LETS NECKED THE ISSUE''MBUTA NANGA!! JAMANI JIPENDENI NA KUWENI SEXY AT HOME'''YANI KINA DADA/MAMA'' UKIWA UNAJIPENDA KWANZA NDIPO UNAWEZA KUPENDA VINGINE NA WENGINE'' NA MPENZI WAKO VILE VILE''

COOL STRORY BRO ''TELL IT AGAIN!! aka.THE KUBWA JINGAAAAA''HIZI PICHA USIPOZIWEKA KWENYE YOUR UCHWARA BLOG' UTANIJUA MIMI MTOTO WA KICHAGGA NISIE OGOPA MTU WALA KITU ''TENA NISIE KWEISHA MAUTAMUU''

NAOMBENI MATUSI MAPYA PLEASE''' YALE MLONITUKANA MBONA YASHAPITWA NA WAKATI? MBUTA NANGA'' FLORA LYIMO FASHION POLICE ANAWAUNGULISHENIJE'' NA BADO MAMBO BADOOO''KUDADAMBIVUUUUUUUUUUU'''

NIMEKOMA BAADA YA FUMANIZI

SHETANI anazidi kuiatamia dunia, ulimwengu unawayawaya! Jamaa mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Manfree, mkazi wa Kimara Mwisho, Dar ambaye inadaiwa ni mfanyabiashara wa baa iliyopo Mbezi Mwisho (Mbezi Shamba) anadaiwa kunaswa na mke wa mtu (jina tunalo), Risasi Mchanganyiko linaibumburua.
Manfree baada ya kunaswa na mke wa mtu gesti.

Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lililoongeza faraja na furaha ya shetani kule kuzimu, lilijiri juzikati huko Kimara Mwisho ndani ya gesti moja (jina lipo kwenye droo zetu).
Mtuhumiwa akiomba msamaha kwa mwenye mke.

ALIYENASA AANZA KUMWAGIKA
Akizungumza kwa uchungu mkubwa, mume wa mwanamke huyo ambaye hakupenda jina lake liupambe ukurasa huu, alisema siku nyingi Manfree amekuwa akimsumbua mke wake, hali iliyokuwa ikimpa wakati mgumu mwanamme huyo mwenye mke.
“Jamaa amekuwa akimsumbua sana mke wangu, nilipokuja kuzipata taarifa hizi nilishangaa sana lakini pia niliumia kama mwanamme,” alisema mwenye mke huyo.
Mwenye mke (kushoto) akiongea na mke wa mtuhumiwa.

MAZOEA YALIPOANZA
Kwa mujibu wa mume huyo, kufahamiana kwa Manfree na mkewe kulikolea zaidi baada ya mwanamke huyo kuhitaji fremu kwa ajili ya biashara ya duka ambapo kwa kutumia uenyeji wa jamaa huyo, alionesha kutaka kumsaidia.

SINEMA YA KUNASWA ILIPOANZA
Mwanamme huyo aliendelea kusema kuwa sinema ya kunaswa kwa mwanamme huyo ilianza siku moja baada ya yeye kwenda kwenye baa ya jamaa huyo kuangalia mpira (hakuzitaja timu).
Alisema akiwa hapo baa, mara mke wake alitokea na kukaa kwenye kiti, meza nyingine. Jamaa huyo naye akaenda kukaa na mke wa jamaa na kuanza kuzungumza.
Nguo za Manfree zikiwa zimetundikwa chumbani.

“Mimi sikujua walichokuwa wakikizungumza na wala sikuwa na wasiwasi kwa vile jamaa ananifahamu, anafahamu yule ni mke wangu na anawafahamu hadi watoto wangu,” alisema mwanamme huyo.
Akaongeza: “Tulipofika nyumbani, mke wangu akasema amesikia mimi nina wanawake wengi nje, nimewafungulia biashara na mambo mengine kibao.
“Nilimuuliza ameambiwa na nani, akawa anagomagoma kunijibu lakini nilipombana sana mwisho akamtaja jamaa. Kumbe alipokaa naye pale baa ndiyo alikuwa akimwambia uongo huo.
“Mke wangu akaongeza kusema kuwa jamaa huyo kwa muda mrefu amekuwa akimtaka wakutane ‘praiveti’ lakini yeye amekuwa akimkatalia kwa sababu analinda heshima ya ndoa yake.
“Mke wangu alinionesha meseji ambazo jamaa alikuwa akimtumia, niliumia sana. Kwa kweli inauma sana jamani hasa kitendo hicho kufanywa na mtu ambaye mnafahamiana!”

MTIRIRIKO UNAENDELEA
Kwa mujibu wa mwanamme huyo, hali hiyo iliendelea kuisumbua ndoa yake huku maneno ya Manfree yakizidi kumvuruga kichwani.
SINEMA KAMILI HII HAPA SASA
Mume huyo alizidi kueleza kuwa baada ya mkewe kukiri kwamba Manfree amekuwa akimtaka wakutane chemba ndipo kwa pamoja walikubaliana kuandaa fumanizi.
“Nilimwambia mke wangu lazima tutege fumanizi, lengo ni kumfanya jamaa aachane na tabia hizi ambazo zinaweza kuharibu ndoa, watoto wakateseka na mambo menginemengine. Nilimruhusu amkubalie kukutana gesti,” alisema mume.

PICHA LINAKOLEA
Mume anasema siku ya tukio, Manfree bila kujijua alimtumia meseji mwanamke huyo, akamuomba wakutane ndani ya gesti moja iliyopo Kimara Mwisho ambapo bila kupoteza muda mwanamke huyo alimtonya mumewe juu ya meseji hiyo.
“Baada ya kunionesha meseji hiyo nilitafuta baadhi ya marafiki zangu ili twende pamoja kwenye eneo la tukio wakawe mashahidi.”
UTAMU ZAIDI
Baada ya mke kufika ndani ya gesti hiyo, mume anadai alimtaarifu jamaa huyo ambaye alitokea na kumwambia mwanamke huyo kuwa amuongezee shilingi elfu kumi kwani chumba ni elfu ishirini.

CHUMBANI ZAIDI
Kwa mujibu wa mume huyo, baada ya wawili hao kuingia chumbani humo, jamaa huyo alivua nguo zote na kukimbilia bafuni. Nyuma, mwanamke huyo aliutumia mwanya huo kumtaarifu mumewe ambaye naye aliwashika masikio marafiki ili wakae mkao wa kumnasa jamaa huyo.
Muda mfupi baadaye, mume anasema Manfree alitoka bafuni na kufikia kitandani puu! Hana hili wala lile, mwanamme huyo akiwa na ‘skwadi’ yake walizama ndani, wakagonga mlango, Manfree akakaribisha, alijua ni mhudumu amemletea bia maana aliagiza.
Mume alizidi kusema kuwa jamaa alipigwa butwaa na kuonekana kuweweseka. Yeye akamuuliza imekuaje yuko na mke wake chumbani? Jamaa akawa hana la kujibu.
MAELEZO YA KWENYE VIDEO
Katika maelezo yaliyomo kwenye video ya tukio zima (ipo chumba cha habari Global), Manfree anajieleza akimuomba msamaha mume huyo pamoja na wote waliokuwa chumbani humo.

MKE WA MANFREE AITWA
Mwanaume huyo anadai kuwa kwa hasira aliamua kumpigia simu mke wa Manfree ili afike kwenye gesti hiyo kushuhudia mumewe alivyokutwa na mke wa mtu gesti.
Anasema: “Mke alifika, akamkuta mumewe hajavaa nguo, aliumia sana lakini hakuwa na la kufanya.”
JAMAA KIZIMBANI
Baada ya ‘mhangaikaji’ wetu kuzipata data hizo, juzi asubuhi alimtafuta Manfree kwa njia ya simu ya mkononi kupitia namba alizopewa na watu wa karibu. Mwanzoni jamaa huyo alionekana kugoma lakini baada ya kubanwa kwa vielelezo alikubali huku akisema japo alinaswa lakini pia jamaa hao walitumia njia za kumteka.
“Aa..! Ni kweli nilikutwa na zahama hiyo lakini jamaa waliniteka bwana. Hata hivyo, sitarudia tena kuwa na uhusiano na wake za watu na tulishamalizana na mwenye mke kwa kumuomba msamaha,” alisema Manfree.
MKE WA MANFREE
Katika hali ya kushangaza, baada ya mkewe kupigiwa simu na mwandishi na kukiri kuwa ni kweli mumewe alinaswa chumba cha gesti akiwa na mke wa mtu, alisema bado anampenda na kwamba ndoa yao bado iko imara kama mizizi ya mti wa mbuyu!
“Ni kweli mume wangu alifumaniwa lakini bado nampenda sana na siwezi kumwacha, nitamvumilia maana ni mume wangu,” alisema mke wa Manfree aliyejitambulisha kwa jina moja la Sarah.
(Maneno yaliyotumika kwenye picha za ukurasa wa mbele, ni kama wanasema na si maneno halisi.)

MILLEN MAGESE ANASWA NDANI YA KIVAZI CHA NUSU UCHI


Anajiita, MODEL, au MISS TANZANIA.Ni binti wa kibongo maarufu kwa jina la Millen Magese akiwa katika pozi la KICHUPI style lililoanzishwa na WAKOLONI maarufu kwa jina la wazungu na kupokelewa kwa mikono miwili na baadhi ya mabinti wa kibongo hasa mastaa....

Kichupi style imekuwa na madhara makubwa sana kwa WANAUME tangu kuanzishwa kwake..Moja ya madhara hayo ni UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME...

Miaka ya 1960 ilikuwa ukiliona paja la mwanamke ni lazima UINGIE BAFUNI kwanza.Leo hii mapaja, matiti, matumbo na nyeti za akina dada hazina thamani tena mbele ya jicho la mwanaume...