Wednesday, August 31, 2011

WASANII WA SANAA YA MAIGIZO MPO WAPI MNAMUACHA MUASISI WENU AKITESEKA HIVI MZEE KIPARA?


Mzee Kipara akijaribu kushuka kitandani
Akisaidiwa kusimama na wageni waliokwenda kumjulia hali

Mzee Kipara enzi zake wakati bado ana nguvu

Napenda nitoe masikitiko yangu kwa wasanii wa Sanaa ya Maigizo wote Nchini kwa kutoonyesha msimamo wa pamoja ili kuweza kumsaidia Mzee wetu Mzee Kipara (Fundi Said) ambaye kwa sasa ana afya ambayo sio nzuri pamoja na uzee lakini hali ngumu ya kimaisha ndio inayochangia zaidi.

Mzee Kipara ni msanii wa muda mrefu sana katika Tasnia hii ya sanaa ya Uigizaji, ni muigizaji mkongwe sana katika Taifa letu, kwa wale wasiomjua alianza kuigiza sanaa toka mnamo mwa miaka ya 1964 enz za RTD (Redio Tanzania) kwa sasa TBC hii kwa faida ya vizazi vya sasa msio fahamu hili.

Baadae Mzee kipara walianzisha kikundi cha maigizo ambacho kikawa kinarushwa na TV ya ITV ambacho amedumu nacho kwa muda mrefu sana kikiitwa Kaole. Katika kipindi chote hiki cha Kaole aliwafundisha wasanii wengi sana ambao kwa sasa wengi mnawasikia au mnaziona kazi zao kwenye Luninga zenu.

Cha kunisikitisha wengi wao hawajaonyesha upendo wao hata kidogo kwa mzee huyu, nitakua mnyimi wa Fadhila kama sita mshukuru sana Stephen Kanumba nakumbuka alikua msanii wa kwanza kwanza kwenda kumsaidia huyu Mzee; namshukuru sana, najua wapo wengine ambao pia walikwenda kwa nyakati tofauti tofauti kuweza kumuona huyu mzee au hata kumsaidia kwa chochote kile.

Mimi binafsi kama mwakilishi wa KAPINGAZ Blog napenda kuwashukuru wote waliofanya hivyo, ila ombi langu kwenu ninyi wasanii wa sanaa ya Maigizo ni kwa nini msiandae tamasha lolote ambalo mnaweza mkakusanya kiasi kikubwa cha fedha kikaweza kumsaidia huyu Mzee wenu badala ya kwenda mmoja mmoja kumuona huyu Mzee, kumbukeni na nyie ni vijana kwa leo itafika wakati mtazeeka kama huyu mzee na watatokea wengine mmewafundisha hiyo sanaa naamini na nyie mnaweza mkasikitika kama mzee huyu.

Naomba niwape mfano wa Dada Asha Baraka, Mkurugenzi wa African Star (Twanga Pepeta) nampongeza sana huyu dada aliweza kuandaa tamasha la Dansi kwa ajili ya kukusanya michango ya kumsaidia Mzee Muhidin Ngurumo ili aweze kupata matibabu vizuri, na mpaka leo naandika masikitiko yangu, Mzee Ngurumo leo anapanda kwenye stage kuimba na wenzie katka tamasha la sikukuu ya Idd el Fitr.

Nawaomba wasanii wote katika sanaa ya maigizo muweze kulitazama hili la Mzee Kipara kama ni jambo lenu wote, na hata mnapokua mnakwenda kwenye vikao vyenu na BASATA muweze kuliongelea hili, ili muweze kua na umoja wenye nguvu wa kuweza kusaidiana kwenye matatizo kama haya. Tunawaona mara kwa mara mnaenda kufanya shughuli mbali mbali sehemu tofauti, hasa za kujipongeza katika mafanikio flani ni vema mnapokua huko mkumbushane la mzee huyu msimuache aishi maisha haya ni aibu kwenu wasanii wote hasa zaidi nyie mliopitia Kaole.

Naomba wana Blog wenzangu tushirikiane katika hili. Asante

20 comments:

  1. I like reading a post that will make people think. Also, thanks for permitting me to comment!
    Here is my web site :: VigRX Canada

    ReplyDelete
  2. Hi there everyone, it's my first visit at this web site, and article is genuinely fruitful in support of me, keep up posting these articles or reviews.
    Also visit my web blog : http://www.pageglance.com

    ReplyDelete
  3. Wonderful article! This is the kind of info that are supposed to be
    shared around the internet. Shame on Google for now not positioning
    this publish higher! Come on over and discuss with
    my website . Thank you =)
    Also visit my blog post : Http://Mydominiohot.Angelfire.Com

    ReplyDelete
  4. I believe that is among the so much significant information for me.
    And i'm glad studying your article. But wanna observation on few normal things, The site taste is ideal, the articles is really excellent : D. Excellent process, cheers
    Here is my weblog : Adocu.com

    ReplyDelete
  5. Heya! I'm at work surfing around your blog from my new iphone 4! Just wanted to say I love reading through your blog and look forward to all your posts! Carry on the excellent work!
    Here is my page - adam and eve adult

    ReplyDelete
  6. A person essentially lend a hand to make critically posts
    I would state. That is the first time I frequented your web page
    and thus far? I surprised with the research you made to make this particular post incredible.
    Great job!
    Feel free to surf my weblog : infologiaz.blog.com

    ReplyDelete
  7. Attractive section of content. I just stumbled upon your web site and in accession capital to
    assert that I get in fact enjoyed account your blog posts.
    Anyway I'll be subscribing to your feeds and even I achievement you access consistently rapidly.
    Here is my web site : actor who is barney the dinosaur

    ReplyDelete
  8. Hello there, just became aware of your blog through Google,
    and found that it is truly informative. I'm going to watch out for brussels. I'll appreciate if you continue this
    in future. Many people will be benefited from your writing.
    Cheers!
    My homepage - Authentic Colin Kaepernick Jersey

    ReplyDelete
  9. Εxсellent way of explаinіng, and nice pieсе of wrіting to tаκe infoгmatіon on the tοpic οf mу preѕentation subjeсt mаtteг, which i
    am going to preѕеnt in uniνersіty.


    Мy blog post premature ejaculation pills

    ReplyDelete
  10. I'll right away seize your rss as I can not to find your e-mail subscription link or e-newsletter service. Do you have any? Please permit me understand in order that I could subscribe. Thanks.

    My blog; cheap party pills

    ReplyDelete
  11. You ought to take part in a contest for one of the greatest sites online.

    I will recommend this blog!

    My web-site - Abercrombie Brussel

    ReplyDelete
  12. This is very interesting, You are a very skilled blogger.
    I have joined your feed and look forward to seeking more of your
    fantastic post. Also, I have shared your web site in my social
    networks!

    Also visit my web site penis health problems

    ReplyDelete
  13. Remember the runneгs come in two sizes; the laгger one neеdѕ tο bе on thе
    top of thе vivаrium in order to
    hold the glasѕ in place. You therefore need to havе a baѕκing spοt with a temperаturе of аrοunԁ
    105f (41c), and аt the othеr end of the vivаrium it shоulԁ
    be cooler, with a temρerаtuге no mοrе than 85f (30с).
    Howеvег, thеre іs some contrоvеrsу as to whether аny true heirs still exist,
    making thοse labeled anԁ sold as such, fаke.


    Alsο viѕit my blog - bearded drаgon secret manual download fгee - http://beardeddragonsecretmanualfreeebook.blogspot.com -

    ReplyDelete
  14. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  15. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  16. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  17. Hello to every body, it's my first pay a quick visit of this webpage; this blog includes amazing and actually fine information for visitors.

    Also visit my blog post; 18 inch dishwasher ()

    ReplyDelete
  18. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  19. Children's glasses come with a protective case, glasses cleaner and soft cloth.

    My website vision without glasses review

    ReplyDelete
  20. Why people still use to read news papers when in this technological world the
    whole thing is available on web?

    my webpage dating sites, ,

    ReplyDelete