Saturday, September 3, 2011

MTANZANIA ANAYE IPEPERUSHA VEMA PENDERA YA TANZANIA KATIKA ANGA ZA KIMATAIFA

Omary Mjenga wa kati kati.
Hapa akiwa katika moja ya mikutano ya kimataifa akiiwakilisha Tanzania pamoja na Viongozi wenzake kutoka UN.

Hapa akimnong'oneza jambo Msaidizi wa Rais Mstaafu Mh. Benjamin W. Mkapa.

Hapa akipewa Nishani ya Utumishi uliotukuka na Mkuu wake wa kazi UN baada ya kupangiwa kwenda kufanya kazi za UN Nchini Siera leone.

Hapa Ndg. Omary Mjenga akiwa na Mh. Anna Makinda, walipomkaribisha Siera Leone.
Kwa sasa Ndg. Omary Mjenga ni Mwakilishi Mkaazi wa UNOPS Nchini Siera Leone.

No comments:

Post a Comment