Mwalimu Nyerere akiwa na Bibi Titi Mohamed ( mwasiasa mwanamke wa mwanzo ), kwenye mkutano wa TANU katika viwanja vya Jangwani. Hii inaonyesha jinsi gani kina mama wetu tayari walikuwa mstari wa mbele kisiasa, na kama sikukosea kwa nchi kama Marekani kina mama walikuwa bado si ruksa kupiga kura achilia mbali kuwa viongozi.
Showing posts with label Nyerere. Show all posts
Showing posts with label Nyerere. Show all posts
Wednesday, December 3, 2008
Mwalimu Nyerere akiwa na Bibi Titi Mohamed ( mwasiasa mwanamke wa mwanzo ), kwenye mkutano wa TANU katika viwanja vya Jangwani. Hii inaonyesha jinsi gani kina mama wetu tayari walikuwa mstari wa mbele kisiasa, na kama sikukosea kwa nchi kama Marekani kina mama walikuwa bado si ruksa kupiga kura achilia mbali kuwa viongozi.Tuesday, October 14, 2008
Tuesday, October 7, 2008
Siku zote hatuna budi kumuenzi Baba wa Taifa kwa kutujengea umoja, ambao ni moja ya sifa kubwa tuliyonayo Watanzania. Alikuwa mstari wa mbele kuikomboa Afrika kutoka kwa wakoloni na vibaraka wao.Ni mmoja wa viongozi Duniani ambaye siku zote aliiweka nchi na watu wake mbele na ubinafsi nyuma. Alikuwa na uchungu na nchi na huruma wa wanyonge kote Duniani.
Mungu ibariki roho ya hayati Baba, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na tutakukumbuka daima na milele.
Subscribe to:
Posts (Atom)




_0.jpg)
