Wednesday, November 5, 2008


Nchini Kenya, jana ilikuwa ni siku kubwa sana ambapo Rais Kibaki alitangaza siku hiyo kuwa ni ya mapumziko. Katika picha juu wanaonekana jamaa wakiuza magazeti yenye vichwa vya habari kuhusu uchaguzi.

No comments:

Post a Comment