Monday, November 10, 2008


Omar Bin Laden, mtoto wa Osama Bin Laden ambae hivi karibuni alifukuzwa nchini Misri ambako alikwenda baada ya maombi yake ya uhamiaji kukataliwa na Spain. Habari za kuaminika zinaeleza kwamba baada ya kukataliwa na Misri, nchi ya Qatar ilikubali kumpokea kijana huyu.

No comments:

Post a Comment