Wednesday, December 24, 2008

Raisi mteule bwana Obama, yuko likizo fupi Honolulu, Hawaii akijiliwaza na hali nzuri ya hewa kabla ya kutawazwa rasmi Urais hapo Januari 20, 2009. Sehemu nyingine nyingi Marekani kwa sasa ni baridi na barafu la nguvu.

No comments:

Post a Comment