Saturday, January 24, 2009


Habari za kukamatwa kwa Nkunda ni za kutia moyo, lakini tusubiri tuone kama kweli kutakuwa na amani ya kudumu ili hawa ndugu zetu wasiendelee kuteseka. Kila ninapoziona sura za hawa watoto siachi kuwafikiria wanangu... hawastahili kabisa kuwekwa katika hali kama hii!!

No comments:

Post a Comment