HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Wednesday, January 7, 2009
Jiji la New York ni moja kati ya miji mikubwa na maarufu sana duniani. Kwa siku upata wageni karibu millioni tatu toka nje na ndani ya Marekani, wanaokuja kwa madhumuni ya kutalii na kusaidia sana kuendeleza na kukuza uchumi wa Jiji hili. Jiji hili lina mchanganyiko wa watu mbalimbali toka kila pande za dunia na hivyo kulifanya kuwa mahali pa pekee sana.
No comments:
Post a Comment