Wednesday, February 25, 2009

Leo wakali wa Zambia na Senegal walichuana vikali katika mechi zinazoendelea za African Nations Football Championships katika uwanja wa Felix Houphonet Boigny na kutoka 0-0. Pichani Sdy Ndiaye(kushoto) wa Senegal na Given Singuluna wa Zambia wakiwania mpira.

No comments:

Post a Comment