Thursday, February 26, 2009


Mfanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom akiwa amembeba mototo mchanga katika hospitali ya Temeke mara baada ya kutoa msaada wa vitanda na mashuka yaliyotolewa na vodacom Foundation yenye thamani ya shilingi milioni 40.

No comments:

Post a Comment