Wednesday, February 18, 2009

Michango ya Kumsafirisha Marehemu Pendo Magalunda
Michango ya hali na mali inaombwa ili kuweza kulipia gharama zifuatazo:
(1) tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania, Mama Mlezi wa Marehemu
(2) gharama za kusafirisha personal effects za Marehemu
(3) gharama za funeral home kwa siku mbili hapa New York wakati wa kusubiri safari.

Unaweza kutuma Mchango wako kupitia
HSBC BANK routing
No:022000020.
ACCOUNT NO: 526410230 yenye jina la
MAGOBE MAGALUDA NA PENDO MAGALUDA.

Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na Bwana Abel Magaluda (Mume wa Marehemu) simu namba 1 347 238 9250, pia wafuatao:
Mr. Amos Shindika TEL -1 203 300 4122 na
Mr. William Malecela TEL-1 914 664 1518.


Tunaomba tushirikiane na familia ya Bwana Abel Magaluda katika kipindi hiki kigumu.


Tafadhali watangazie na Watanzania wengine.

No comments:

Post a Comment