Thursday, March 26, 2009







Haya ni maisha katika nchi ya Kiafrika(Angola) yenye utajiri mkubwa wa mafuta, lakini tazama watu katika baadhi ya sehemu walivyo na maisha duni. Nchi zetu nyingi zina upungufu sana wa huduma za ustawi wa jamii. Afrika bado tuna safari ndefu sana...



No comments:

Post a Comment