Wednesday, June 17, 2009








Ilikuwa ni patamshika leo siku ya Jumatano, June 17, 2009 wakati timu ya Taifa ya Afrika ya Kusini ilipopambana na timu ya Taifa ya New Zealand wakati wa mchuano wa Confederations Cup kundi la A katika uwanja wa Royal Bafokeng mjini Rastenburg, Afrika ya Kusini. Katika picha za juu, anaonekana mchezaji Steven Pienaar wa Afrika ya Kusini akiminyana na Wanew Zealand.


No comments:

Post a Comment