Tuesday, June 23, 2009


Raisi wa kwanza wa majirani zetu - Mzee Jomo Kenyatta.
Mzee alikuwa anakizungumza sana kiswahili na alikuwa mtani sana. Watu walipokuwa wanamuita Mzee, yeye aliwajibu kiutani kwamba "mimi sio Muzee na kama uhamini muulize mama Ngina". Huyu ni shujaa mwingine mkubwa wa Afrika.

No comments:

Post a Comment