Saturday, October 17, 2009





Ghana wachukua ubingwa wa Kombe la Dunia umri chini ya miaka 20 baada ya kuwashangaza Wabrazil kwanza kwa kutoka nao 0-0, na baadae kuwafunga kwa penalti 4-3 huko mjini Cairo, jana(16/10/2009).




No comments:

Post a Comment