Monday, January 4, 2010

Raisi Zuma wa Afrika ya Kusini yuko mbioni kujichukulia mke nambari Tano, tena kwa sherehe kubwa ya kijadi huko jimboni kwake la KwaZulu-Natal. Nahisi mpaka anamaliza muda wake wa kuwa Raisi anaweza kufikisha kumi!

No comments:

Post a Comment