Saturday, February 20, 2010

CRISPIN NA REZA WALIMEREMETA


Reza Karia Mziray(Mrs. Kinabo) kwa kweli alipendeza sana na ukiongezea tabasamu na d...

Bwana na bibi jinsi walivyopendezeana!!!
Crispin M. Kinabo, Reza, Harrieth na Simon Kinabo

Jamani madada... Reza K., Reza M., na Harrieth D. kwa kweli walimeremeta!!!

Mambo hayo!!!

Mama Matovu(shangazi) akimfurahia mwanae!

Baba mzaa chema(Godwin Karia Mziray) akiteta jambo na dada yake(mama Matovu).

Wazazi wakitambulishwa kwa madoido ya hali ya juu!

Sendoff haijakamilika bila ya mduara... mambo ya kivazi yalikuwa African style!!!

No comments:

Post a Comment