Tuesday, February 23, 2010

Ingawa huduma za hawa jamaa ni muhimu wakati usafiripo kwenye mabarabara yetu yakwenda mikoani, lakini mara nyingi huduma hizo uchanganyika na kero hasa pale inapotokea kwamba unavamiwa na manjinga kama kumi hivi na wote wanataka ununue biadhaa ya aina moja na kila mmoja anadai ununue kwake!

No comments:

Post a Comment