Wednesday, March 24, 2010

Kwa kweli mji wetu wa Mwanza unaendelea kupendeza sana. Ni lazima tuwape hongera wazee wa "The Rock City" kwa kuuweka mji katika hali ya usafi. Kama yanawezekana Mwanza na Arusha, hivi ni kwa nini Tanga wameshindwa? Hadhi ya kuwa jiji Tanga bado... na huo ndio ukweli!!!!

No comments:

Post a Comment