Thursday, March 18, 2010

Wakati kukiwa kumesalia miezi kama mitatu kabla ya mashindano ya kombe la mpira wa Dunia, mchezaji maashuhuri wa Uingereza, David Beckham hatoweza tena kuichezea nchi yake kutokana na kuumia mguu ambao inabidi upate visu.

No comments:

Post a Comment