Monday, May 31, 2010


Mandela
Mzee wetu Mandela alipokuwa akitumikia kifungo kwa ajili ya Waafrika wenzake!
Lazima tuwape heshima sana hawa wazee wetu kwani hata ndoto zetu za kombe la mpira la Dunia kuchezewa Afrika kunatokana na jitihada zao. Asante sana Mandela, Nyerere, Kaunda, Nnkruma, Naser, Kenyata...


Huu ni unyama wa askari wa jeshi la Congo!

No comments:

Post a Comment