Tuesday, July 20, 2010

FREE ADVERTISEMENT !!!


Hii nadhani inawezekana katika Afrika yetu pekee kwa makampuni makubwa kutangaza biashara zao karibu na bure kabisa. Sidhani  kama huyu mwenye haka kaduka analipwa chochote kwa matangazo zaidi ya kumi kuwa mbele ya kaduka kake!

No comments:

Post a Comment