Saturday, December 11, 2010

Bendi ya mziki wa dansi " Ngoma Africa Band" aka FFU yenye maskani yake Ujerumani,inawatakia watanzania wote walio nyumbani na nje,kila la heri ya

sherehe za miaka 49 ya uhuru.

Pia inaitakia kila la heri nchi yetu Tanzania nchini ya Uongozi wake Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete.

Aman,Upendo,Umoja na Mshikamano Mungu Ibariki Tanzania jipe raha at http://www.myspace.com/thengomaafrica

au www.myspace.com/thengomaafrica

www.reverbnation.com/ngomaafricaband







No comments:

Post a Comment