Friday, December 24, 2010

Hivi huyu ndugu Musevenyi ni lini atasema basi kama walivyo wenzie? Jamaa anashikilia nafasi ya 19 kwa maraisi matajiri duniani lakini bado hatosheki!! Waganda inawabidi muondokane na hawa watawala waliopitwa na wakati kwani ndio kipingamizi cha maendeleo ya kweli Afrika ya Mashariki.

No comments:

Post a Comment