Tuesday, December 28, 2010


Miaka yote yeye alidhani Congo ilikuwa mali yake na itaendelea kuwa hivyo milele na milele. Sijui kwa nini kina Mugabe,  Musevenyi na wengine wanaoendelea kutaka kuwa madarakani hata kama muda umepita hawapati hili fundisho.  Nadhani ni Afrika pekee bado tuna hili tatizo la hawa watawala wasiojua demokrasia maana yake ni nini...

No comments:

Post a Comment