Friday, January 21, 2011

Familia ya J.s.Makunja na Bi.Moza Mpili,

Inawatarifu ndugu,Jamaa na marafiki wote kuwa

Shughuli ya hitma na arobaini ya Marehem Hassan Jumanne Makunja,

Itafanyika tarehe 29.01.2011 kuhamkia 30.01.2011 huko mjini utete/Rufiji

kwa mama wa marehem.



Marehem Hassan Jumanne Makunja

Amezaliwa 4-03-1964 amefariki 19-Dec-2010



taarifa zaidi wasiliana namba hii 0787532929 au 0718893419, Bi.Ummy Makunja

0784617961 Bi.Zaituni Hamisi

082249496 Saleh Makunja







No comments:

Post a Comment