Wednesday, March 28, 2012

MWANAFUNZI ALIYETOA MANENO YA KIBAGUZI DHIDI YA FABRICE MUAMBA AENDA JELA SIKU 56.

Ninachokiona katika picha hii ni Police kujifunga pingu moja na mtuhumiwa Je ndo utaratibu wa police wa uko UK ?? au macho yangu tuu nimeipenda hii. Maneno yalimfikisha hapo alipo ni haya ‘LOL [laughing out loud], **** Muamba. He’s dead!!! #haha.’aliyo kuwa ameyaandika na kuyasambaza kwa kutumia Twitter. 

No comments:

Post a Comment