Monday, March 26, 2012

MWANAFUNZI WA AKIFUATILIA KAMPENI ZA VYAMA UPINZANI VINANYO ENDELEA UKO MAJI YA CHAI ARUSHA.

Mwanafunzi wa shule ya sekondari Ngongongare , maji ya chai akifuaia kwa umakini kabisa mkutano wa adhala wa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM bwana Sumari. Wewe na mimi tungependa sana kujua nini anacho kiwanza ndani ya kichwa chake.
Mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akisalimia maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni uliofanyika jioni hii kwenye Uwanja wa Ngarosero, kata ya Usa River jimboni humo. 

No comments:

Post a Comment