Tuesday, April 24, 2012

SUMA LEE MWANA MUZIKI WA BONGO FLAVA NA MSHINDI WA TUZO MBILI ZA KILLI AWARD KATIKA WIMBO WAKE WA AKUNAGA AINGIA NEW YORK KIMYA KIMYA.

Akiwa maheneo ya Time Square Manhattan New York.


Hapa akipata Menu katika moja ya restautant za Manhattan

Hapa akiwa ndani ya moja ya usafiri wa Manhattan Nyc....maharufu kama Subway....

Hapa akiwa na mweneji wake Ny Ebra!!akikisha apotei kwani Suma Lee akuzoea kuona vikwangua Anga kama hivi vya New Yoek City....

No comments:

Post a Comment