Thursday, May 24, 2012

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA -MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA TCRA

Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano.Sayansi na Teknolojia, January Makamba, akipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  Profesa John Nkoma, wakati alipotembelea Makao Makuu ya ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania zilizopo Jengo la Mawasiliano Taower Sinza  ,barabara ya Sam Najoma jijini Dar es Salaam ili kujionea shughuli zinazofanywa na Mamlaka hiyo.
 Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia Januari Makamba akimsikiliza Mhandisi Mfawidhi wa Mawasiliano ya Redio wa  Mamlaka ya Mawasilioano Tanzania. Mhandisi,.Johannes Magesa, wakati alipokuwa akitoa maeleza juu ya kutambua muingiliano wa mawasilia kwa frequecy za redio wakati waziri huyo alipotembelea TCRA kujionea shughuli zinazofanywa na Mamlaka hiyo . kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Profesa John Nkoma

No comments:

Post a Comment