Saturday, June 23, 2012

DIANA HUSSEIN AFANIKIWA KUNYAKUA TAJI LA MISS DAR INDIAN OCEAN 2012


Mrembo Diana Hussein (kati) amefanikiwa kunyakua taji la Miss Dar Indian Ocean kutoka kwa mwanadada Stella ambaye amemaliza muda wake, mwanadada huyu alifuatiwa na Kudra Lupatu (kulia) na Zulfa Vuai (kushoto). Shindano la Miss Dar Indian Ocean 2012 limefanyika ndani ya Kijiji Cha Makumbusho Dar es Salaam

Picha kwa hisani ya http://kajunason.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment