Tuesday, July 31, 2012

HAKI SAWA KWA WOTE SI NDO KAMA HIVI, AU VIPI WADAU!!!!

 

Hapa hapa ile kaulimbu ya kina mama kudai haki sawa na kina baba si ndiyi sawa,? namna hii nadhani hata uchumi wa Taifa hili utapanda kwa kasi ya ajabu.

No comments:

Post a Comment