Tuesday, July 31, 2012

MCHAKATO WA KUTOA MAONI YA KATIBA MPYA MKOA WA KUSINI PEMBA

Khamis Said Abdalla (47), mkazi wa Shehia ya Madungu, Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba, ambae ni mlemavu, akitoa maoni yake kuhusu Katiba mpya katika mkutano wa kutoa maoni kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mpya wakati wa mkutano huo uliofanyika katika Shehia hiyo hivi karibuni. Picha na Othman Maulid

No comments:

Post a Comment