Friday, January 4, 2013

VODACOM GROWN AND SEXY PARTY ILIVYONOGA NDANI YA UKUMBI WA MLIMANI CITY


Mmoja wa Wahudhuriaji wa Sherehe ya Vodacom Grown and Sexy Party akifanyiwa mahojiano juu ya Sherehe hiyo Kubwa ya Kuaga Mwaka na Kukaribisha Mwaka 2013 ijulikanayo kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika Usiku wa leo Katika Ukumbi wa Mlimani City
Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano na Udhamini Kutoka kampuni ya Simu za Mikononi ya Vodacom,Kelvin Twisa akiwa katika Zuria jekundu Wakati wa Sherehe ya kuaga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013 ijulikanayo kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia leo
Baadhi ya Wahudhuriaji wa Party ya Vodacom Grown and Sexy Party Wakiwa kwenye Zuria jekundu la Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika Usiku wa Mwaka Mpya Ndani ya Ukumbi wa Mlimani City 
Wadau 
Neema Swai akiwa katika picha ya pamoja na rafiki yake wakati wakiingia kwenye ukumbi wa sherehe ya kuaga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013 ijulikanayo kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia Leo
Warembo wakipata ukodaki mbele ya kamera yetu Wakati wa Sherehe ya kuaga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013 ijulikanayo kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City usiku wa kuamkia leo
Warembo wakiwa ndani ya Ukumbi wa Mlimani city huku wakipata vinywaji baridi wakati walipohudhuria Sherehe ya Kuaga mwaka 2012 na kuukaribisha Mwaka 2013 ijulikanayo Kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia leo
Hii ndio Panel ya Ma Dj waliowarusha vilivyo wahudhuriaji wa Sherehe ijulikanayo kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika Usiku wa Kuamkia leo katika Ukumbi wa Mlimani City
ilipotimia Saa Sita na Dakika Moja Usiku wa leo Ukumbi wulifanana hivyi ikiwa ni shamra shamra ya kuuaga mwaka 2012 na kuupokea mwaka mpya wa 2013 katika sherehe ijulikanayo kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika Ukumbi wa Mlimani City usiku wa kuamkia leo
Baadhi ya wadau waliohudhuria wakibadilishana mawazo huku wakijipatia vinywaji vyao wakati wa sherehe ijulikanayo kama Vodacom Grown and Sexy party iliyofanyika Usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Mlimani City
Wadau wakiserebuka Wakati wa Sherehe ya Kuaga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013 katika shehere ijulikanayo kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia leo
Baadhi ya wadau wakibadilishana mawazo huku wakipata vinywaji katika sherehe ya Kuaga mwaka 2012 na kuupokea Mwaka 2013 ijulikanayo kam Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City usiku wa Kuamkia Leo. Picha na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment