Friday, April 26, 2013

SIKUKU YA MUUNGANO ILIVYO FANA UKO TANZANIA

.

Ndege za kivita zikifanya maonesho katik sherehe za Miaka 49 ya Muungano jijini Dar es salaam leo.
Zenye rangi ya njano zinazomwaga rangi za bendera za Taifa ni ndege za mafunzo na zingine za kijivu
ni za kivita.
 
 
Jukwaa kuu lilipambwa kwa umaridani katika Uwanja wa Uhuru, Dar
Msafara wa Rais Jakaya Kikwete ukiwasili uwanjani
Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la jeshi la magereza
Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride
Mke wa rais, mama salma kikwete

Askari polisi wakipita mbele ya Rais kikwete (hayupo pichani)

ndege ya kivita ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTz)
 
Jiji lilipendeza kila mahala bendera ya Taifa zilisimikwa, hapa ni barabara ya Kilwa, Dar
 
Watoto ombaomba wakiomba maeneo ya Agha Khan jijini Dar
Foleni ya magari ilionekana wakati viongozi wa kitaifa wakienda Uwanja wa Uhuru, Dar, hapa ni Barabara ya Kilwa
Askari wa usalama barabarani wakidhiti magari ili kupitisha misafara ya viongozi

No comments:

Post a Comment