Friday, July 26, 2013

Kutana na picha 10 za pozi tofauti za Mkenya Huddah wa BBA 2013!


Moja ya majina ya maceleb wa nchini Kenya ambayo yanatajwa sana na pia yanaonyesha kuongoza kwa kuwa Clicked na ku-trend kwenye google , Blogs na mitandao ya kijamii ya Twitter,Instagram na Facebook ni jina Huddah Monroe.

Huyu ni mkenya ambaye amejijengea jina kwa urembo wake lakini pia amehusishwa na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na rapa C.M.B Prezzo japo amekuwa akikanusha, alishiriki pia shindano la Big Brother The Chase 2013 lakini alitolewa mapema baada ya kukaa wiki moja ndani ya mjengo.
Huddah akiwa ameweka pozi.

No comments:

Post a Comment