Sunday, July 28, 2013

Mh. Dodest J. Mero akipata ukodak wa pamoja na familia yake

Mh. Dodest J. Mero akipata ukodak wa pamoja na familia yake. Mh. Mero alikuwa anafanya kazi Tanzania Mission New York katika nyadhifa mbalimbali zikiwemo: 
Minister plenipotentiary at United Nations
Minister Plenipotentiary at Government of Tanzania
Partner at PM Consulting Group, na sasa amekuwa promoted na Mh. Rais kuwa 
Ambassador and Permanent Representative at Permanent Mission of United Republic of Tanzania to UN - Geneva. Kwahiyo viongozi wa jumuia ya watanzanani New York pamoja na Mh. Balozi Tuvako Manongi na wafanyakazi aliokuwa anafanya nao Office za Tanzania UN Mission New York walimwandalia BBQ ya Kumuaga na kumpa zawadi kama kumbukumbu na heshima kutokana na jinsi walivyo kuwa bega kwa bega katika utendaji wa kazi za kioffice na za kijamii kipindi yupo NYC.
H. E. Mr. Ken Kanda
Ambassador & Permanent Representative of
The Republic of Ghana to The United Nations
akipata ukodak na Mh. Mero na kushoto kwa Mh. Mero ni mke wake, anaefuatia ni mke wa Mh. Tuvako N. Manongi
Permanent Representative of the United Republic of Tanzania. Viongozi hao walipata ukodak kumbukumbu mbele ya Camera ya Vijimambo.
Mh. Balozi Manongi akimsomea maneno yaliyoandikwa kwenye zawadi kabla ya kumkadhi Mh. Mero
Makamu katibu wa New York Tanzania Community Mariam Abu akimkabidhi zawadi Mh. Mero kwa niaba ya Community.
Zawadi ziliendelea kama unavyoona
Mh. Balozi Manongi akiongea kabla ya kukabiz zawadi hiyo, Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa Mh. Balozi Manongi Dobbs Ferry New York.
Ni zawadi picha kubwa ya ukutani yenye picha ya mama wa kiafrica.
Mh. Mero akiongoa na kutoa shukrani kwa watu waliojitokeza na pia kusema kuwa atawamiss sana wafanyakazi wenzie hasa kitu atakacho miss ni happy hour, Happy hour ni muda wa kukutana wafanyakazi wote kwa soft drink baada ya kazi za siku nzima.
Mwenyekiti wa New York Tanzania Community Mr Shaban Mseba akiongea machache kwa niaba ya Community. Kwa picha zaidi bofya read more

No comments:

Post a Comment