Friday, September 20, 2013

KANITESA SANA BINTI HUYU MPAKA KASINGIZIA ANA UKIMWI ILI TUACHANE LAKINI SIKUMWACHA..ILA SASA BASI


Dear admin mimi ni mvulana mwenye miaka ishirin na mmoja,nilikuwa na mpenzi wng ambae nilimpenda sana,akataka nimpeleke paka kwetu kwa wazaz wng. Nilimpeleka na nika mtambulisha wazaz walifurahi kumuona na walimpenda sana,mimi na huyo msichana tulikuwa na malengo baada ya mimi kumaliza chuo tuje tufunge ndoa.baada ya chuo kufunguliwa ilinilazimu mimi kusafili kuelekea masomoni mkoan ( )siku moja usiku. Nilipga cm yake ikawa haipokelewi, baadae cm nahc ilijipokea nikasikia yuko na mwanaume chumbani wakiongea, ilikuwa km majira ya saa saba hv ucku,kesho yake asubuh na mapema nikampgia nikamuliza aka kanaa,kadri cku zilivyo zidi kwenda ika fika kipindi akaniambia kwamba nisimpigie cm ucku huwa analala mapema, nikasema ok sio kes mamaa, baada ya cku km tatu akanipgia cm akidai kuwa ana ujazito,kwa kwer taarifa hii ilinisitua sana! Nilimuliza ujauzito huo ni wanani? Ni wa kwangu? Aka niambia hapa sio wako ni wa mjamaa flan hv yuko bandari na anataka kuniowa,sio siri nilisikitika sana, nilivyo muliza kwann umeamua kunifanyia hvyo? Akasema maisha coz naitaji niwe na kwangu na nimeona wewe utachelewa paka umalize chuo miaka mitatun me nimeshindwa.nikajaribu kubembeleza lkn wapi, badae nikasema poa kwa kuwa sina jinsi coz n mm ni mwanafunz wa chuo alie mpata yuko bandali anapga kazi mimi nikamwachia, Mungu, ajabu baada ya miez mitatu yule mwanamke akanipigia cm akiomba msamahaa nimsamehe yule alikuwa ni shetani tu anaomba turudiane,kwa kwer ilikuwa ni vigumu sana kukubali kwa kuwa moyo ulisha change badae nilimuonea huruma nimwambia ts fine nakupenda na tutakuwa pamoja. Baada ya miez miwili kupita akanza tena tabia yake na safari hii akaja na mbinu mpya kbs nakumbuka sku moja alikuja kwangu jion akaondoka kurud kwao tegeta, baada ya wiki km tatu kupta nikawa nampgia pgia cm usku akawa hapo kei,nilipo muliza kwann cm yng upokei cku hz ucku? Akaniambia maisha yamekuwa magumu ckuhz natoka na wezangu tunakuwa bugulun kimboka tunajiuzaa, he! Nilishtuka xana,nikamuliza kwann ukuniambia mapema km umeanza tabia chufu hyo,? Akaniambia ndo hvyo kama umeridhika bas tuendelee kuwa wapenzi nikamwambia poa nimeridhika wala usjar mama,alipoona njia hyo ime feli kuwachana nami,akatumia njia hii nakumbuka ilikuwa ni juma tano sikumbuki tar alinipgia cm na kudai hali yake sio nzur amekwenda kupima maleria kambiwa hana doctor kamwambia aka chek H.I.V, nikamwambia poa nenda kapima then nijulishe, kesho yake asubuhi akanipigia akiwa analia kwamba yuko HIV positive. Haa! Nilishituka! Nikamwambia umeniuwaaa, akasema hapa unakumbuka mara ya mwisho kuja kwako nikamwambia ndio ni wiki 3 zimepita akasema ndio baada kutoka kwako that day nilitembea na mzee flan alichana kinga yy ndo amenipa, kwa haraka haraka cku amin,but me nikamwambia even if umeathirika mm nko tauari tufe wote kwan hakuna atakae baki,huku nikiamin anachosema pasipo kujua alikuwa anatafuta mbinu tuachene, bas ikaenda alivyo ona njia zote zimeshindika akamua kuniambia tena kwa mara nyingne, j unajua wewe bdo uko chuo kwahyo maisha yamechangia mm kufanya hv sasa nimepangiwa chumba natimiziwa maitaji yote nayoyataka, nikachoka sana,mh! Nikasema haya majanga punde si punde nikatumiwa sms na mtu ambae simfaham ili kuwa inasema hv" nimetambua upendo wako kwake“ nikampgia helo nani mwezangu,akasema mimi ni bwana ake alie kuwa demu wako kwasasa sio wako nagalamia miyee,nikamchanga mkia kutokana na ukalim nilio lithi kutoka kwa mama,nikamwimbia niambie ujambo wewe, akadai yuko offic akitoka atanitafuta, nikamwambia ok, baadae akanipgia, helow vp mimi naitaj tufamiane zaid, nikamwambia poa nikamuliza uko whasup,bbm,au mtandao wwte wa kijamii akadai yuko fb nimtafute nikamtafute tukawa tunachat,mimi nikaona haina haja ya kuendelea kuwa na huyo mschana nikamua kuachia ngazi tu waendelee wao km umaskin wa kifadha ipo cku utakwisha kwan mbuyu ulianza km mchicha, au nimekosea jaman? Nishaurini.

No comments:

Post a Comment