Wednesday, September 4, 2013

SHOGA LAFUMANIWA NA MKEWE LIKILIWA "TIGO" .., LINA WATOTO WAWILI LAKINI SIO LIZIKI

Kuna kitu ningependa niwashirikisha marafiki wa ukurasa huu ingawa ni aibu lakini ni vyema pia na akina dada wenzangu na hata vijana wa kiume wajifunze kutoka kwangu.

Mimi ni binti wa miaka 30 na nimebahatika kupata watoto wawili wakiume na wakike na namshukuru muumba kwani wana afya tele.

Niliolewa miaka 5 iliyopita na kijana mmoja ambaye tulikuwa wapenzi kwa takribani miaka sita na baadae tukaona ni vyema tuoane.

Katika maisha yetu ni kweli baba watoto amekuwa mtu asiye na makuu na mwenye kujali na mara nyingi tumekuwa hatuna matatizo madogo madogo kwani yeye ni mzee wa mesheni town.

Nianza kusikia mtaani kuwa mme wangu sio riziki lakini nilipuuzia kwani siku hizi kijana akiwa na maendeleo kidogo na ni handsome basi watu hawataacha kumpa kashfa kibao na hasa ukizingatia kazi za mishemishe nazo huwa na majanga yake.

Hata nilipoambiwa kuwa kwa nini anakuwa karibu sana na waarabu nilipuuza kwani mimi nilimwamini sana mme wangu. Na pia nilijiuliza mbona deal zake nyingi ni dubai na oman kwa hiyo ni kawaida tu ukizingatia huko ndio kuna watu wa rangi hiyo.

Kuna wakati nakumbuka niliwahi kumuomba ruhusa niende kijijini kwetu nikawasalimie wazazi na bila hiyana akaniwekea gari tayari pamoja na vijisenti vya kuwapa wazazi na kuwa ningekaa kule kwa muda wa wiki mbili.

Kwa bahati mbaya sikuweza kukaa siku zote kwani kuna tatizo lilijitokeza ikanibidi nirudi mapema bila kumwambia nikijua tungejadiliana kunako nyumbani nikifika

Sikuamini kwani kufika nyumbani tena kwenye chumba.chetu cha kulala nikaona boxer ngeni nikamuuliza hii ni ya nani? Nakumbuka akanijibu kuwa ni ya shamba boy, nikajaribu kuuliza ilifikaje ndani kwetu akadai usiku alikuwa anaogopa hivyo akawa akilala na shamba boy.

Ulikuwa ni mtihani kwangu ingawa ilinibidi niamini huku nikijiuliza kama baba anakuwa muoga sie wana famialia tunaohitaji ulinzi wake itakuwa vipi? Basi yakaisha na maisha yakaendelea.

Ilipita miezi na sasa ni miaka ambapo wiki iliyopita nimemfumania live akiwa na jibaba la kiarabu tena bila aibu juu ya kitanda chetu cha ndoa.

Nilishtuka na kidogo nizirai lakini nilijikaza hasa ukizingatia sikutaka majirani wapate hili, kwa aibu akanifuata na kuniambia nimsamehe kwani ni mara ya kwanza na amefanya hivyo ili apate deal la kwenda Dubai kufanya shoping ya nyumba na ofisi yetu mpya.

Kweli niliamua kumuachia nyumba na nimeondoka na wanangu mpaka sasa nipo nimepanga sehemu ambapo nimeanza maisha mapya na kamwe hata niona maana ni laana.

Nawaasa vijana hakuna haraka ya kukimbilia maisha mazuri, one step at a time.....

Dunia imeisha

No comments:

Post a Comment