Wednesday, July 30, 2014

SHEREHE ZA EAD MUBARAK NEW YORK

  Balozi wa kudumu wa Tanzania umoja wa mataifa Mhe, Tuvako Manongi akionge machache ukumbini hapo kama mgeni rasmi wa sherehe hizo za Eid zilizokuwa zimeandaliwa na waislam waishio Brooklyn, NY. Na kuudhuliwa na Watanzania kutoka sehemu mbalimbali jirani na jiji la New York.
 Bwana Isaack Kibodya  kutoka Springfield. MA akimkaribisha Mh. Balozi ukumbini hapo kabla ya sherehe kuanza 
 Mwenyekiti wa New York Tanzania Community Bwana Hajji Hamis akiteta jambo na Mh. Balozi Tuvaki Manongi. Kwa picha zaidi za shere hizo jitiririshe kwa kubofya soma zaidi.

 Vijimambo New York Ebra Akipata ukodak na ustadh Ali M'barak Al Khadhuri.


No comments:

Post a Comment