Thursday, October 30, 2008




Hivi ndivyo ilivyokuwa jana wakati rais mtarajiwa Barak Obama na rais wa zamani Bill Clinton walipopanda jukwaani kwa mara ya kwanza wakiwa pamoja katika kuwahamasisha raia kupiga kura kwa wingi ili kumchagua bwana Obama, hapo ifikapo Jumanne Novemba 4, 2008.


No comments:

Post a Comment