Thursday, October 30, 2008












Hawa ndugu zetu wa Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo(D.R.C) bado wanaendelea kupigana wenyewe kwa wenyewe na ni raia wasio na hatia wa nchi hiyo ndiyo wanaondelea kuteseka. Hivi kweli Dunia imeshindwa kabisa kusaidia hili tatizo sugu la Afrika? Yanayoendelea Congo siyo tu kwamba yanawanyima haki zao raia wengi wa nchi hiyo, bali pia hali hiyo inazorotesha maendeleo ya Afrika nzima. Hili sio tatizo lao peke yao, bali ni la Afrika na Dunia nzima.




No comments:

Post a Comment