Tuesday, October 28, 2008


Kikumbi Mwanza Mpango "King KIKI", ni mmoja wa wakongwe wa musiki wa dansi Tanzania. Utunzi wa nyimbo na sauti yake viliwaburudisha wengi enzi hizo na hadi leo. Kwa walio wengi ni raha ndani ya roho kila tusikiapo nyimbo hizo. Mzee tunakushukuru sana kwa burudani.

No comments:

Post a Comment